Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
mkuu nimeipitia hyo article mara mbili mbili, baadhi ya maeneo mzee ndio kaongea point lakini pia kuna baadhi ya sehemu mzee anajichanganya mwenyewe, anasema Manchester haiwapi nafasi watoto wa academy imewekeza sana katika kununua YES yupo sawa lakini si kwa % mia, tumeona kwenye tour young player kibao kaongozana nao, msimu uliopita tuliona akina blacket , Wilson , Pereira wakipewa nafasi, mwaka huu kawaongeza akina Johnstone, LA masia moja ya academy bora kuwahi kutokea MIAKA YA NYUMA xavi iniesta, messi Valdez wote wametokea huko lakini Leo barca inatoa £75 kwajili ya Suarez LA masia iko wapi? castilla imewatoa akina ma legend bora wa Madrid lakini leo Madrid wanaamua kumlipa £80k kinda martin toka Norway ili awe future yao, sasa kwann mda mwingi kautumia kuizungumzia utd wakati hata yeye kwenye kikosi chake anao wachache hao academy.
KUNA HII SEHEMU ANASEMA:
"Most of the clubs who have been
successful are clubs who have done that
well. You can take Barcelona of Man
United, who had a generation and built
their success on players who came from
within.
"These are our values and it is our DNA
and it's important we keep that.
"With United's success they have created
huge financial resources and today there
is no patience for them to continue to do
what they did - and they have the
financial resources to go with a different
policy. (nakubaliana nae)
ONA TENA HII SEHEMU ETI ANAJITOFAUTISHA NA MUFC
"We want to continue to combine
stronger financial resources with faith in
our philosophy and policy,"
"That means we want to continue to give
chances to young players and build the
players from inside our club with our
culture.
"Afterwards, if we can buy the
exceptional players, we can compete
today. But that will not be the basis of
our policy. (ina maana utd haiwapi chance vijana? sina uhakika kwa hilo)
BAADAYE KAONGEZEA NA HILI
"As well, they do not have available the
players like Paul Scholes, Ryan Giggs and
David Beckham inside the club, because
youth talent is spread more through 20
clubs than it was 20 years ago."
my word :
My comment is not related to this article
only.
Im sure once we have finished rebuilding
the team we will come back to our youth
policy.
So every summer we will see an addtion
of 1-2 first team players and few
youngsters promoted to frist team.
If.anyone thinks we will be spedning 150
mil every summer then i admire their
optimism.
Wenger atuoneshe mfano. Atumie pound milion 20 kuleta makombe emirate.