Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ImageUploadedByJamiiForums1436992808.003546.jpg
 
Kuna wimbo wa dini unaitwa KIZUNGU ZUNGU KIMEWAPATA, sijui nani kaimba, Mikel obi, loftas cheek, Willian, osca, matic, fabregas, hazard, ramires, zouma, bado mlikua mnamtaka turan kabla hajawatosa, hao huwaoni ila mid za utd tu? Msimu ujao tunamechi nyingi tunahitaji rotation ya kikosi sio kama Chelsea hazard na Terry wanacheza msimu mzima, msimu uliopita tulikua na kikosi chembamba ndio maana mmoja akiumia tulikua tunahangaika sana, now we are back mnaanza kupatwa na kizunguzungu. Kocha alishajua sehemu za kuzifanyia marekebisho ndio anachokifanya sasa
#GGMU

Kwema hapa ndani?
Namshukuru Mungu kwa kuzidi kuwapa uzima na naona imani yenu inazidi kukua hasa ktk kipindi hiki cha usajili ambacho namuona Van G akitutendea haki kwa kiasi flani.
Mkuu herrera msimu uliopita injuries zimetughalimu sana, mfano ni alipoumia Carrick. Van G yeye awalete tu hata kama watakuja kukaa bench tunachohitaji sisi ni kurudi kwenye nafasi yetu tu.
 
Last edited by a moderator:
Kwema hapa ndani?
Namshukuru Mungu kwa kuzidi kuwapa uzima na naona imani yenu inazidi kukua hasa ktk kipindi hiki cha usajili ambacho namuona Van G akitutendea haki kwa kiasi flani.
Mkuu herrera msimu uliopita injuries zimetughalimu sana, mfano ni alipoumia Carrick. Van G yeye awalete tu hata kama watakuja kukaa bench tunachohitaji sisi ni kurudi kwenye nafasi yetu tu.

Mhala ahene idogoye?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom