Kitu kinachonifurahisha kama shabiki wa Chelsea about usajili wenu ni kuwa...itawachukua (itamchukua LvG) nusu msimu kuweza kutambua proper starting line up ambapo sisi tutakuwa tupo mbali mno.
Man UTD ni kama r/madrid, you buy for show off wala sio kwa sababu mna malengo maalum nao!
Notion ya kuwa na Surplus wengi nadhani haina nguvu sababu top teams zinatarajiwa kucheza mechi kama 50(PL,FA CUP,CL,C1C )patakuwa na mechi za kutosha kwa wachezaji wote, kitu kingine ni vitu visivyozuilika kutokea kazini (injuries and suspensions) pamoja na form ya wachezaji
Anaweza kutumika namba 10 na ametumika msimu uliopita ameonesha mafanikio
Nafikiri tuna offensive midfielder wengi sana
DiMaria,Mata,Young,Januzaj,Depay,Hererra,Fellaini,Perreira but inategemea na mfumo tutakaocheza nafikiri Depay atachezeshwa kama Striker na ingekuwa bora kama Januzaj angepelekwa kwa mkopo somewhere
Wewe wasema sisi ndiye.....naona uajitahidi kuvaa mikoba ya Sheikh Yahaya.
Wakati wa Moyes, midfield ilikuwa tatizo kubwa sana.
Wakati wa LVG, strikers ni matatizo bado.
Kwa ule mpira tuliokuwa tunapossess msimu uliopita halafu tunashindwa kuscore magoli ya kutosha.
Unless rooney aje kuprove otherwise.
Notion ya kuwa na Surplus wengi nadhani haina nguvu sababu top teams zinatarajiwa kucheza mechi kama 50(PL,FA CUP,CL,C1C )patakuwa na mechi za kutosha kwa wachezaji wote, kitu kingine ni vitu visivyozuilika kutokea kazini (injuries and suspensions) pamoja na form ya wachezaji
Kuna wimbo wa dini unaitwa KIZUNGU ZUNGU KIMEWAPATA, sijui nani kaimba, Mikel obi, loftas cheek, Willian, osca, matic, fabregas, hazard, ramires, zouma, bado mlikua mnamtaka turan kabla hajawatosa, hao huwaoni ila mid za utd tu? Msimu ujao tunamechi nyingi tunahitaji rotation ya kikosi sio kama Chelsea hazard na Terry wanacheza msimu mzima, msimu uliopita tulikua na kikosi chembamba ndio maana mmoja akiumia tulikua tunahangaika sana, now we are back mnaanza kupatwa na kizunguzungu. Kocha alishajua sehemu za kuzifanyia marekebisho ndio anachokifanya sasa
#GGMU
ZAMANI ILIKUA HIVI :
~ Jugones | De Gea is expected to be a Madrid
player very soon.
~ Soon after benitez, De Gea deal will be
finalised
~ MARCA | Benitez has given green light at
Florentino Peréz for the signing of David De
Gea
~ Real Madrid are ready to complete the deal for
De Gea soon now that Benítez gave the green
light. [via Lucas NavarreteM]
~MARCA David de Gea is very close to becoming a new
Real Madrid player. 'Los Blancos' are set to
hand over a fixed fee of 25 million to
Manchester United plus a further 5 million in
easily achievable performance-related add-
ons, bringing the total to 30 million,
SAIZI WAMEKUJA NA HII HAPA TENA
~MARCA ARMOURED DE GEA - Madrid will
"reward" De Gea 5m if he stays a
year at Utd & leave for free
Yaani hawa jamaa wanataka watuaminishe kuwa wenyewe ndio wenye uamuzi wa degea kubaki ama kuondoka, £30 mill imewashinda kutoa saizi eti watamzawadia 5 mill kama ataondoka free msimu ujao, hahahahaaa
#poor marca
#poor Madrid
#Big up Ed umewashika penyewe
Ila namba 10 sio striker! Bora utumie neno 'forward'
All in all lazima aondoke mmoja au wawili katika hiyo current midfield yenu...
Just being real!
Na huu wa sasa ndo mtakuwa na possesion 80% afu hamna magoli! Hivi defence mmejipangaje? Valdes na De Gea wakinodoka wote itakuaje mangi?
KWa hiyo mmemnunua Shweinsteiger na Scheiderlin ili wacheze C1C? C'mon man! Kila mchezaji anataka kujihakikishia namba kwenye first 11 ya timu...na kwenye mechi kubwa. C1C ni for the youth na academy players sio ya Depay au di Maria.
Who is this? weka maelezo kwenye picha zako...
Mchezaji kucheza mechi moja msimu mzimu ndio lengo la mchezaji yeyote, majeruhi na kushuka kiwango ni matokeo tu ila hakuna anayeyapanga hayo. Its prestigious kwa mchezaji, kocha na timu kama mchezaji anaweza kumudu games nyingi bila maumivu au kuchoka.
Hata sisi kama akija mchezaji mpya midfield nakuhakikishia kuna mmoja aliyepo atakayeondoka!