Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Ndugu yangu hapa siyo suala la kufuatilia ama laa....umesema hawa mazombie waliwaleta Falcao,Dimaria kwa ada ya kuvunja rekodi sasa hebu niambie huyo Falcao na Di maria wamefanya nini?hao sawa na Baloteli uliyemtaja.Dirisha linafunguliwa leo sawa,Hata mwaka jana ilikuwa hivyohivyo wakaja kutuletea magarasa siku ya deadline.Kuhusu LVG alisemaje unaweza kunikumbusha coz Zombie yule kaongea mengi tu.
 

Kama wa.j.inga wachache wanavyosema firmino, clyne eti wameikata Utd, tatizo watu wanashindwa kutofautisha story za magazeti na taarifa seriaz
 
Reactions: Nzi
Zilikuwa tetesi tu kumbe aji wala nini

Hichi kipindi unapaswa kuwa makini na nakushauli uwe unafuatilia habari za kutoka vyombo vya habari vyenye kuaminika kidogo la sivyo utapelekwa kama upepo maana ukiwa kila source ya habari basi wewe unaiamini nakuhakikishia kwa siku moja asubuhi mpaka jioni utakua unasoma habari za wachezaji kuhusishwa na kuhamia MU wasiopungua 6..sasa piga hesabu kwa siku 60 MU itahusishwa na players wangapi? Hiyo ya uyo jamaa wa SOTON ipo lakini haikufikia hatua kama vyombo vya habari vilivyokua vinaripoti...sasa kila anahusika na MU ata akiwa anapiga stor tu na wenzake mgahawani akiropoka jina la mchezaji tu tayari kesho kwenye front page na ndio habar kuu
 

Hata mwaka jana tulirelax na mwisho wa siku chaliii.....hao skysports unaosema ndiyo source yangu ya kwanza kwa habariza michezo lakni hawana tofauti na wengine,rumours nyingi uhalisia sifuri.All in all labda nikuulize Nzi;pre-season madhumuni yake ni nini?hivi ukisajili mapema halafu hao uliowasajili ukaenda kuwapa uzoefu na kuzoeana kwenye timu during pre-season kuna ubaya?

Pia tusidanganyane humu,hakuna ambaye hafuatilii hizi transfer rumours,kwa mpenda michezo kila kukicha kwa kipindi kama hiki lazima apitie media tofauti kuangalia kimeandikwa nini juu ya mambo ya usajili na tetesi za uhamisho
 
Last edited by a moderator:

Kaka ata ao skysports sasa ivi nimeanza kuwa na mashaka nao, sometym wanakujaga na umbea umbea kama wa Goal. Com, deal sasa ivi ni kuona mchezaji kasimama kwenye vitofali vyekundu basi ndo tuamini..
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Nzi

Biashara ya mpira sio kama biashara ya nyanya mkuu.Ili mchezaji asajiliwe lazima pande tatu zikubaliane (Timu anayotoka mchezaji,timu anayoenda na mchezaji mwenyewe ),Falcao & Di Maria umesema magarasa so unataka United wamsajili CR7,Messi,Aguero au Iniesta? Hadi sasa Chelsea,ManCity,Real Madrid,Bayern hawajasajili wachezaji yeyote.Loserpool last season walisajili hivyo hivyo but walitoka nafasi ya 2 hadi ya 5 while United walitoka no 7 hadi 4,hebu pita kwenye jukwaa la Liverpool uone wenyewe wanavyolalamika pamoja na kusajili wachezaji 6 hadi sasa
 
Reactions: Nzi

Yan ndugu yangu ulichoandika mpaka nimejikuta nimebaki mdomo wazi,yan Bro kweli kabisa ulidhamiria kuandika hiki ulichoandika?hivi unataka kufananisha ubovu wa Man Utd na Barcelona,Madrid,Bayern etc?haya hao mfano wamemsajili Douglas Costa,na hapo ujue wana kikosi imara mara kumi ya Man Utd.Kalaghabaho
 

hebu somen hapo
 

malizieni na hapa
 
Kunapooza ligi ikiwa hamna.... ila nasikia unakwenda Uganda kuipa tafu timu ya taifa ya "Homeboy" wako
Taifa stars ni ubao wa kujifunzia kuandika. Waganda wataondoka na points 3 afu homeboy atakuja na porojo zake
 
Chelsea still havent signed Falcao
officially
City still havent signed anyone
officially despite how many bids
for Sterling
Liverpool are signing players with
little competition from anyone
It was reported Arsenal were going
to sign Cech last week monday,
Cech and his management came out
and denied it and a week later he
signed.
Calm down mate.
 

Sawa basi..
 
Kaka ata ao skysports sasa ivi nimeanza kuwa na mashaka nao, sometym wanakujaga na umbea umbea kama wa Goal. Com, deal sasa ivi ni kuona mchezaji kasimama kwenye vitofali vyekundu basi ndo tuamini..

Poa poa..
 
Hata usiumie mkuu tetesi zote ni media zaidi wanazirusha kila mchezaji mkali wanajaribu kumuhusisha na MU ,tutulie tu tutaona kina nani ambao watasajiliwa na si kusikiliza tetesi za media....
mchezaji mkal messi peke yake na wazue wengine wa fcbarcelona hao wengine magarasa tu
 
Gundogan signs new Dortmund contract

It's a win-win, seeing as (presumably) no
club wanted to take a risk on him given
his injury record and (so far)
underwhelming comeback. He gets to stay
around for another year at Dortmund to
prove his worth, without them taking the
risk of losing him for nothing by keeping
him another season.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…