Manchester United (Red Devils) | Special Thread

aleyn tumevamia uzi wa watu wenyewe wanaweza kutupiga ban maana umekumbusha kilio matangani siku ile babu alitafuna ubani mpaka mwisho akajitafuna ulimi kibaya zaidi akaja kutoneshwa kidonda tena 2011

ha ha ha ha ha Aleyn chebi
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha ha Aleyn chebi

Hahahahahahaha kipindi hiko Man U ilikuwa noma, walikuwa na mido yao pale kati ilikuwa inaitwa scholes. Katika hiyo Game Ronaldo alianzia wing ya kushoto, akawa anapiga mashuti yake ya kijinga jinga. Wanaume dakika ya 9 tukaweka mpira wavuni, weeeeeeeeeeee. Walitafuta mpira mpaka wakakata tamaa na wakahisahau kama wanacheza final.
 
Last edited by a moderator:

ha ha ha ha ha ha SS NDIO BARCELONA
 
Kwa mechi ile laiti ningekuwa shabiki wa Man U basi baada ya Game ningehamia Barcelona cc chebi na PNC 1
 
Last edited by a moderator:
Kwa mechi ile laiti ningekuwa shabiki wa Man U basi baada ya Game ningehamia Barcelona cc chebi na PNC 1

yani tulipiga mpira mpaka nikazani Barca tupo mazoezini maana position 99% ya 1
 
Last edited by a moderator:
Sisi ndio bwana wake wa Man U, kila tukikutana nae lazima akae, katupa mara mbili mfululizo. Tunampenda sana mke wetu Man U.

na tunamwombea Mungu japo tupangwe nae makundi maana tumemmic sana
 
zile final 2 hadi leo huna sababu ya kumwambie shabiki wa man u ampende messi au aisikie barca ndio maana tulipo kuja kupata kichapo kutoka kwa bayern mwaka juzi watu wa man u walifuarahi sana na juzi tulipokutana nao tena walijua basi ndio yale ya 2013 mara wakaja kumuona magicien king leo messi alivyo mgaragisha neur haaahahahaaaa karibuni man u katika champions league kufika 16 basi bahati yenu
 

Heeeee chebi mbona mm nampenda Messi......halafu kule jamvin kwako Liver unahitajika sana usikimbie chama lako.
 
Last edited by a moderator:
King Messi, Legendary Messi, hakuna mwanaume kama huyu, Sijui kwanini Man U hawampendi.
Lile goli la pili pale Wembley aliwafunga midomo, wakaanza kutetemeka uwanjani utadhani kuku wa kideli.
 
Naona uzi umevamiwa na barca,hv kwa nn msiwe na uzi wenu???,arsenal tu wana uzi uliosheheni data,nyie vipiiii?
 
King Messi, Legendary Messi, hakuna mwanaume kama huyu, Sijui kwanini Man U hawampendi.
Lile goli la pili pale Wembley aliwafunga midomo, wakaanza kutetemeka uwanjani utadhani kuku wa kideli.

mi nilijua fagason anacheza kiduku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…