Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ntuzu tupo kwenye transitional time. Hivyo kwa mwaka huu sio mbaya. Kukosekana kwa Carrick kumepunguza creativity. Ndio maana Van Gaal amesema timu lazima iwe na wachezaji wanaoweza kucheza bila kuathiri balance ya timu. Msimu ujao itakuwa level nyingine. Ingawa inauma kuwapa Arsenal pointi yao ya kwanza kwa misimu 6 iliyopita. Inauma sana.Tena kosa ambalo lingeweza kuepukika. I feel for Blackett though alikuwa devastated baada ya mpira. Ali block nusu nusu.
 
Me nashindwa kuelewa inakuaje uyu dogo anakua sub ya mtu kama rojo yaani au mimi sijui mpira?

Ukiona hivyo ujue kocha hana namna, usajili wa nguvu unahitajika lasivyo Qualifiers hakuna mlango wa kupita.
 
Ukiona hivyo ujue kocha hana namna, usajili wa nguvu unahitajika lasivyo Qualifiers hakuna mlango wa kupita.

Grafani. Kwa usajili utakaofanyika. Tutakuwa level nyingine. Rojo alipotoka hakukuwa na mwingine isipokuwa Blackett,kwani Luke Shaw ni majeruhi. Najua tupo dissapointed lakini tungeshinda malalamiko yasingekuwepo.Makosa yanatokea kwenye football. That is football.
 
Napenda sana chama langu la man utd. Ila naomba young, bracket, wasiwepo msimu ujao.
 
Grafani. Kwa usajili utakaofanyika. Tutakuwa level nyingine. Rojo alipotoka hakukuwa na mwingine isipokuwa Blackett,kwani Luke Shaw ni majeruhi. Najua tupo dissapointed lakini tungeshinda malalamiko yasingekuwepo.Makosa yanatokea kwenye football. That is football.

Kuna makosa mengine unakuta mchezaji anayarudia rudia hayohayo ktk match tofautitofauti sasa hapo tatizo lipo kwa mchezaji
 
Sub za leo hasa hasa ya bracket.
Kwa kuwa rojo alikuwa vizuri kwenye nafas hio. Sisem haya kwasbb bracket kafungisha ila rojo alicheza vizuri sana na angemkaba vizuri walcot.
Bracket ni mtu wa kupanda saaana mbele na kusahau jukumu lake nyuma.

Rojo ni mkabaji man to man.

Gg man united, nimependa kuwepo kwnye top 4 , tujipange kukwifai uefa.
 
Back
Top Bottom