Kurudi enzi za Fergie bado mkuu. Kwanza lazima David Gill arudi FA, pili mjue jinsi ya kudefend. Msimu mzima defence yenu ipo ipo, enzi za Fergie mlikuwa mnajua kudefend hata mkiwa pungufu.
Ahh wapi!!! Sitaki kusema mengi.....
Jumatatu vs Swansea kwetuNipo sana tatizo mida ninayoingia hapa nyie mnakuwa hampo
Timu yako inacheza lini?
Hawa wakaanga sumu watatuelewa tu ngoja kikosi kikae vizuri......
Kurudi enzi za Fergie bado mkuu. Kwanza lazima David Gill arudi FA, pili mjue jinsi ya kudefend. Msimu mzima defence yenu ipo ipo, enzi za Fergie mlikuwa mnajua kudefend hata mkiwa pungufu.
Ona naye huyu....same old stories...nilishaambiwa kuwa United ilishinda EPL mfululizo wakati David Dein akiwa makamu mwenyekiti wa FA, na pia akiwa pia mwakilishi wa vilabu vya soka kwenye uongozi wa FA....sasa sijui Dein (aliyekuwa mmiliki wa goons) aliibeba United?!?
Saa nyingine watu uwa mnafurahisha na kuhuzunisha sana kwa kuleta story za kwenye vijiwe vya kahawa humu...kwa utaratibu wa FA, lazima kuwe na uwakilishi wa professional clubs kwenye bodi na uongozi wa FA...sasa D. Gill ni mmoja wa wawakilishi hao, ambao uchaguliwa na timu zinazoshiriki ligi mbalimbali za Uingereza....kuna kipindi kigogo wa Rentboys alikuwa katika bodi ya FA, Benetiz akawa analalamika anaipendelea Chel$ki$
Kwa mfano sasa bosi wa FA ni Greg Dyke (jina lake halisi wala siyo masihara), aliyewahi kuwa kigogo wa United miaka ya 1990...kazi ya mwisho walikuwa bosi wa BBC...CEO ni jamaa ambaye alishawahi kuwa kwenye bodi ya Leicester City...sasa sijui kwanini Greg hasiibebe United sasa hivi, wakati yeye ni kigogo mkuu???
Chanzo: The website for the English football association, The FA Cup and The England football team - About Football Association | The FA
Defence yetu mbovu ila ni timu tatu tuu kwenye ligi zimefungwa magoli machache kuliko sisi
David Gill alipokuwa yupo FA alikuwa anafanya kazi zake kwa Haki... sio kama David Dein alipokuwa FA ..alikuwa anahakikisha mechi za Arsenal zinachezeshwa na marefa wanazi wa Arsenal
David Gill na mamluki wengine wa United walikuwa na more influence FA kuliko D. Dean pekee yake. Majority rule au umesahau?
everlenk, Nzi, DonDonald.. Ushindi wa kindondokela umewapa kelele leo. Last three weeks ilikuwa kimya sana. Hadi mnarisechi magazeti ya vijiweni. Next week ukimya utarudi hapa.
everlenk, Nzi, DonDonald.. Ushindi wa kindondokela umewapa kelele leo. Last three weeks ilikuwa kimya sana. Hadi mnarisechi magazeti ya vijiweni. Next week ukimya utarudi hapa.
Mkuuu ulitaka tulie ?? Sema nyie leo ndo mmeshindwa kuweka kigodoro humu....BTW pamoja na kipind kigumu tulichopita jukwaa halikuwah kulala tupu bila mwanaMu yeyote kupitia hapa .....
Hahahahah wanawekaga kambi hapa, na kujipa matumaini hewa....
Malafyale alisema mechi za Man Utd kushinda zimeshaisha.... sijaona leo akiizungumzia kauli hiyo
Kesho ana kibarua kizito darajani. Uzuri tunacheza nae bila presha yoyote. Tunacheza kurinda heshima tu. Huo mpira tutakao mchezea LFC kesho mtasimulia wenyewe!
Ameshasema "hata nyie mnajua kabisa hamuwezi kucheza na majogoo yakiwa 11 kwa 11 uwanjani", "hata nyie mnajua kabisa majogoo yanakufunga kirahisi kabisa"
Mtani siku moja moja tutakie heri basi maana hamna vita tena wewe ndo bingwa wetu.......
Daaaah
Kesho nakupiga Darajani
Hongera Mkuu.