Manchester United (Red Devils) | Special Thread


ni kweli mkuu ila mkiwaga kwenye moto wenu huwa mnafungwa na barca hususani fainal
 
Pole sana wangu, tuombe sana Mungu hii mechi ya jmosi angalau atuone, juzi Crystal Palace wamecheza vizuri tuombe LVG aje na mbinu ambazo zitabadili matokeo.

Tatzo LVG anaiga sana Barca style wakat yeye anaukosefu wa MSN maana yeye ana clouds fm sasa magoli lukuki yatatokea wap
 
United has reached an agreement with PSV Eindhoven & Memphis Depay for the player's transfer, subject to a medical. Pending the successful completion of the medical, the deal will go through once the transfer window opens in June.
 
man utd have reached an agremen with PSV for the summer transfer of memphis depay,
21 years old has agreed his long awaited move to OT subjected to a medical after the red devils saw off late interest from bitter rivals liverpool.
"we are very proud of this upcoming transfer which happened quickly" said PSV's technical manager marcel brands.
WELCOME DEPAY
 
Asije akawa kama Wilfred Zaha,tulimpokea kwa matumaini makubwa lakini mwisho wa siku tukaambulia chenji tuu
 
Kijana yupo vizuri msimu ujao wakaanga sumu watainywa wenyewe.

Hahahaha huwa napenda hizi predictions za wapenzi wa mpira. Nakumbuka mlikuwa mnasema hivyo baada ya kumnunua Di Maria, Falcao pamoja na wachezaji wengine.... Anyway ndiyo vijimambo vya kabumbu hivi, kila mtu ana haki ya kusema hivi.
 
Asije akawa kama Wilfred Zaha,tulimpokea kwa matumaini makubwa lakini mwisho wa siku tukaambulia chenji tuu

Di Maria, Januzaj, Falcao wote mlikuwa na matumaini makubwa. Wachezaji nyota dizaini ya kina CR7, Messi huwa wanatokea mara moja moja baada ya miongo kadhaa. Tusubiri tuone atakavyokuwa.
 

Naona mmeanguka kimapato na kithamani sababu mlikuwa wa pili(kama sikosei), Arsenal nao wameanguka kimapato. Nimeona hata Real Madrid nao wameanguka kimapato lakini bado wapo nafasi ya kwanza. Competition ya utajiri inazidi kuwa kali kila mwaka. Watu wa business tuelezeni hii kitu inavyokwenda please.
 
Di Maria, Januzaj, Falcao wote mlikuwa na matumaini makubwa. Wachezaji nyota dizaini ya kina CR7, Messi huwa wanatokea mara moja moja baada ya miongo kadhaa. Tusubiri tuone atakavyokuwa.

Sio tulikuwa,ni kwamba bado tunamatumaini nao ni kwamba tu team inakosa wachezaji kadhaa wakuifanya iwe imara.Natumaini usajili wa safari hii LVG atafanya marekebisho sehemu husika.
 
Asije akawa kama Wilfred Zaha,tulimpokea kwa matumaini makubwa lakini mwisho wa siku tukaambulia chenji tuu

Wilfred Zaha ni mchezaji wa kiingereza,huwa wanakuwa published sana na kugewa sifa nyingi hata wasizostahili..mfano yeye,Sterling na Kane.

Ila Memphis anajipublish mwenyewe tu kutokana na uwezo wake.
 


Question remains: when will the taking off be? It was supposed to be this season...

In Nzi's speech Rent boy Mentor aka Mcharo wangu naomba apaone hapa.........

Mwambie Nzi aweke na msimu uliopita mlikuwaje...


We have the best central defender in Terry...endeleeni na hao U23 wenu...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…