Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahaha!!! Ukija nimeandaa manati nakupiga nayo....... nimeshakuhaidi kuna siku utalia zaidi yangu usinikimbie tu maana unavyojua kukimbia mwezi mzima unajificha.

Yatakuwa machozi ya furaha msimu ujao tutakaponyakua EPL na UCL...oooh I will cry my dear!!!! ...and I will not run!!!


Niite Mcharo!
 

kaka sikumaanisha kama ulivonielewa, it waz just a joke nashukuru mkubwa mentor kanielewa, am sory for that bro! and am sor for those who misunderstand it, i didnt mean it seriously
 
Last edited by a moderator:

nashukuru kwa kunielewa kuwa i didn't mean, footbal is all about peace and joking mpira ndio unanoga, all in all hongereni kwa kuchukua epl ya 5 ambayo ni mafanikio ya mchezaji mmoja tu wa manchester wayne rooney, sasa mna haki yakujifananisha na rooney lakn sio manchester utd
 
Last edited by a moderator:
Yatakuwa machozi ya furaha msimu ujao tutakaponyakua EPL na UCL...oooh I will cry my dear!!!! ...and I will not run!!!


Niite Mcharo!

Hahahaha!!! Thubutu , baby msimu ujao huo ni wangu hakuna mambo ya possession without goal mbona utanipenda.......Mcharo wangu champagne ya kombe letu tunafungulia wapi? London, Paris, USA au kwa mtogole?
 
Teehe teehe tehee heshima yako mtani una roho ngumu kweli ... Bulldog kakimbia kabisa humu siku hizi ananipa motisha sana kuhusu magari

Mkuu sio kwamba nimekimbia. Nipo sana tu mkuu. Sema nakosa cha kusema siku hizi. Mentor na Ntuzu wanasumbua sana siku hizi. Wamechukua ubingwa ila hakuna msisimuko kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha!!! Thubutu , baby msimu ujao huo ni wangu hakuna mambo ya possession without goal mbona utanipenda.......Mcharo wangu champagne ya kombe letu tunafungulia wapi? London, Paris, USA au kwa mtogole?

Tumeshawazoea mnasema 'msimu ujao' halafu u dont deliver. Sisi Mou alisema '..next season' na kweli tumechukua! Na akisema next season ni UCL basi ni letu tu hata aje nani...

Kuna togwa my dear...lokesheni nitakujuza privately si unaona kuna viungo wakabaji wengi humu ndani itakuwa tabu kidogo!!!
 
Mkuu sio kwamba nimekimbia. Nipo sana tu mkuu. Sema nakosa cha kusema siku hizi. Mentor na Ntuzu wanasumbua sana siku hizi. Wamechukua ubingwa ila hakuna msisimuko kabisa.

Yaaani kutekenywa tutekenywe sisi...msisimko uupate wewe...how come brother!!!! Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:

Hadi leo naamini giggs ni bonge la coach. Sema anakosa experience being as a coach. Miaka mitatu ijayo atakuwa moto wa kuotea mbali
 
Hadi leo naamini giggs ni bonge la coach. Sema anakosa experience being as a coach. Miaka mitatu ijayo atakuwa moto wa kuotea mbali

Hata van gaal alisema giggs wanted to take a lot of risks but he is still learning hopefully he can take my position when I leave.
 

hahahaha! Naona mshatubatiza na majina kabisa..... Mimi siongei tutaonana next season.

Hewalaaa !!! Lazima tudumishe mila ile wengine wameshindwa.... Togwa mahali yake.
 
hahahaha! Naona mshatubatiza na majina kabisa..... Mimi siongei tutaonana next season.

Hewalaaa !!! Lazima tudumishe mila ile wengine wameshindwa.... Togwa mahali yake.

Baada ya togwa ni kuoga......
Hata waseme vipi Chelsea ni wageni wa vikombe ndio maana wanachonga sana. Acha wajitahidi angalau wafikishe mataji kumi ya EPL maana Wazee wa Old Trafford wakitake off nj mpaka Taji la 40, sidhani kama washabiki wa chelsea walioko hai leo wataliona tena acha walishike kwa mara ya mwisho. Viva Man U wazee wakujaza Makabati kwa vikombe na medals sio hawa wengine vikombe sababu ya uchache wake vimewekwa juu ya meza tu.
 
TOP 20 MOST VALUABLE FOOTBALL CLUBS IN THE WORLD
Club ValueRevenue
1. Real Madrid. £2.13bn £489m
2. Barcelona £2.07bn £431m
3. Manchester United £2.03bn £461m
4. Bayern Munich £1.54bn £434m
5. Manchester City £905m £369m
6. Chelsea. £898m £345m
7. Arsenal. £859m £320m
8. Liverpool. £644m £272m
9. Juventus. £549m £249m
10. AC Milan. £508m £222m
11. Borussia Dortmund £459m £233m
12. Paris Saint-Germain £416m £422m
13. Tottenham. £394m £192m
14. Schalke. £374m £190m
15. Inter Milan. £288m £146m
16. Atletico Madrid. £286m £152m
17. Napoli. £232m £147m
18. Newcastle. £229m £138m
19 West Ham. £203m £122m
20 Galatasaray. £193m £144m

Forbes' most valuable football clubs list revealed and explained

Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/fo...nchester-united-make-three.html#ixzz3ZOxmltoC


Licha ya kukosa UCL mwaka huu, timu kithamani bado ipo vizuri....Real Madrid wameipita United kwa £0.10bn tu....na hapo deal la Adidas halijawa factored in....mwakani itakuwa balaa....pia hata kimapato timu ipo vizuri...ni Real tu ndiye mapato mengi..
 
Timu bado ipo vizuri,pamoja na kukosa nafasi za juu na pia kushindwa kushiriki klabu bingwa tunashika nafasi ya tatu tena kwa tofauti kiduchu na namba 1
 

In Nzi's speech Rent boy Mentor aka Mcharo wangu naomba apaone hapa.........
 
Last edited by a moderator:

Tumesuasua miaka miwili bila cha maana. Hatuna kombe, hatuongozi league ila pre season USA tulipata watazamaji 109,000 (rekodi).

Madrid ametupita kwa £20milion kwenye mapato, ametupita kwa .10bilion£ kwenye thamani.

Hapo unaona nini? United is far way a better club, a better team with prospects in the future. Ndo maana sasa hivi tuna malengo ya kuingia top 4 deal la addidas lisipungue.

What if tungekuwa na moto uleule?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…