Who is Red? Who is die hard fan?
Tumepoteza mechi tatu mfululizo kwa mara ya kwanza zaidi ya miaka 13 na kukosa kufunga katika kipind hiki tangu mwaka 2007 na michezo hii ikiwa ni jumla ya SAA 4 na dakika 45, inaumiza sana lakini hatupaswi kukata tamaa bado nafasi tunayo tupambane mpaka dakika ya mwisho kitaeleweka tu.
Wana Mu family msijifiche tokeni kwenye mahandaki mliyopo hii ndo MANU yetu hatuna budi kujadili nini kinachotukumba,nini kifanyike basi ili jahazi liokolewe katika mechi zilizobaki. ..........GGMU
Iam Red.... how about you? cute b RRONDO kitwala Belo Nzi Bulldog Mbeky [MENTION=152495 [USER=37329]DonDonald[/USER] chiko18 mfarisayo MussoLIN sister Ngongo privacy
#MANUfans
Teehe teehe tehee heshima yako mtani una roho ngumu kweli ... Bulldog kakimbia kabisa humu siku hizi ananipa motisha sana kuhusu magari
Me too im Red forever no matter wat happn....
Ila daah ujue fans weng hii mech ya juzi imetusikitisha sana...tumefungiwa nyumban kabisa. Ilinichukua muda sana kurudi kwenye hali ya kawaida.
Nashindwa kuelewa ni kwamba wachezaji hawafanyagi mazoezi au? Maana kama mechi ya juzi tuliongoza kwa possession na pia kick on talent ila sasa sielewi ni nini kilikuwa kinashindikana pale golini.
Ilifika mahali nikatamani droo ila pia nayo ilishindikana everlenk.
Kwa kweli safari bado ndefu.
Hahahaha!!! Chezea kufungwa wewe lazima uhame jukwaa kama vile mtani wangu unavyojichimbiaga kuleeeee......
Mimi sasa hivi nikiona kocha amewapanga kuanza januzah, van persie then nione rooney amerudishwa nyuma huwa nazima tv kama nimo home au kama ni baa nahamia isiyokuwa na dstv.
Nimefanya hivyo mara kadhaa na imejibu ikiwemo juzi.
dont argue with stupid people, they will lay down to their level and beat u with an experience, chelsea kaenda five years without a trophy, arsenal ten years, liverpool two decades, manchester united only 3 yrs but ndio inaongelewa kuliko hao wengne, this simply tell me that MANCHESTER UNITED NDIO TIMU INAYOOGOPWA na wanajua watakua kwenye wakati mgumu pindi ikirudi kwenye moto wake, so let them use a small chance they got to talk,
VIVA UTD, am RED and i will always be
Come on, it isn't three years...it is two seasons...SAF left United with EPL title..then United went blank under Moyes, and now under LvG.
lakini hatujafikia kiwango cha kukaa miaka 5 bila trophymanure hoiiiiiiii...............
lakini hatujafikia kiwango cha kukaa miaka 5 bila trophy
...
....Tukutane mwakani
dont argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat u with an experience, chelsea kaenda five years without a trophy, arsenal ten years, liverpool two decades, manchester united only 3 yrs but ndio inaongelewa kuliko hao wengne, this simply tell me that MANCHESTER UNITED NDIO TIMU INAYOOGOPWA na wanajua watakua kwenye wakati mgumu pindi ikirudi kwenye moto wake, so let them use a small chance they got to talk,
VIVA UTD, am RED and i will always be
Huna haki ya kumuita mwenzio Stupid kwa kuwa tu ana wa troll hapa
he is just enjoying joking you....huu utani upo JF sports muda tu usilete chuki
Maneno ya utani yapo kila siku humu watu hutaniana....usiwagombanishe hawa ndugu wawili
nahisi utakuwa mgeni wa haya majukwaa lakini #Utazoea tu ni sehemu ya burudani
ila mdada ameichukulia serious sana... Mentor punguza sindano kidogo usiue mgonjwa kabisa ndugu
Hahaha bro kashengo naamini hata herrera kaisema hiyo stupid kiutani zaidi lol...kukosa kombe kunauma ujueeee. Kuna kipindi Nzi na Mbu walikuwa wakizozana hapa sisi binadamu tunashangaa ila all in the name of sports...yanaishia hapa hapa.
Having said that ndugu herrera na bi everlenk sitoacha kuja humu kuwa troll hata kidogo hata ingekua ni kwa msimu mmoja tu...hata ukame huanza na kukosa mvua kwa msimu mmoja..khe khe khe khe kheeeeeeeeeeee....
Na bado.
#teamBLUE