Manchester United (Red Devils) | Special Thread


according to you
 
Radamel Falcao has been paid nearly £3,000,000 since he last had a shot on target.




 
Ngoja tu-focus kwenye game ijayo dhidi ya Everton pale Goodison Park!

Hili ndo la maana kwasasa maana EPLtable sasahivi inatishia amani, na tusimpuuzie Everton hizi game zake mbili za mwisho si haba..... Haya MUSSOLIN na wadau wote wa MANU maoni yenu tafadhali kikosi gani kinafaa.......
 
Last edited by a moderator:
Hili ndo la maana kwasasa maana EPLtable sasahivi inatishia amani, na tusimpuuzie Everton hizi game zake mbili za mwisho si haba..... Haya MUSSOLIN na wadau wote wa MANU maoni yenu tafadhali kikosi gani kinafaa.......

sijamuona kaka yakp Malafyale leo hii....mzima yeye,maanake si kawaida yake akae siku nzima bila kuja humu...kulikoni???
 
Last edited by a moderator:
Hili ndo la maana kwasasa maana EPLtable sasahivi inatishia amani, na tusimpuuzie Everton hizi game zake mbili za mwisho si haba..... Haya MUSSOLIN na wadau wote wa MANU maoni yenu tafadhali kikosi gani kinafaa.......
Kikosi jiwe kile kile natumai watakuwa wamepona wote labda pass master pekee
 
Last edited by a moderator:

mbaazi zikikosa maua
 

Thanks. Nilitoa data £20M toka telegraph.co.uk nimecheki Bbc nimeona upo sahihi ni £6M but still analipwa £265K kwa wiki na bado hajashaini kama ilivyotarajiwa. Nimeona sehemu Man utd fans(wa England) wanasema jamaa hajawahi kuwa na shot in target tangu January 31st(sijui kama ni kweli, lakini imetoka kwa UTD wenyewe). Hata kama anapangwa mechi chache hii stats ni mbaya kwa striker mwenye jina kubwa kama Falcao. Kifupi amekuwa flop so far. Financial power yenu ni kubwa inajulikana. Nilikuwa napinga alichosema Nzi kuwa mpo katika financial crisis tangu timu inunuliwe na Glazers, kitu kisicho kweli.
 
Hili ndo la maana kwasasa maana EPLtable sasahivi inatishia amani, na tusimpuuzie Everton hizi game zake mbili za mwisho si haba..... Haya MUSSOLIN na wadau wote wa MANU maoni yenu tafadhali kikosi gani kinafaa.......

sijajua kufikia w'end hali ya majeruhi wetu itakuwaje? Ila naamini baadhi yao watarudi
 
Last edited by a moderator:
sijajua kufikia w'end hali ya majeruhi wetu itakuwaje? Ila naamini baadhi yao watarudi

Tuombe wapone haraka .........lakini hata kikos kilichopita si mbaya anaweza anza Di Maria badala ya Falcao....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…