Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wachezaji wote uwanjani wanajua kucheza Mpira..

Walimu ndo wamezidiana.

Man u kiufundi walikuwa vizuri
Kimbinu walikua hovyo

Chelsea kiufundi hatukucheza vizuri
Lakini kimbinu tumefaulu 100℅

Chelsea ndio mbabe wa man u na wazembe wengine wote!

Unakuja darajani kichwakichwa!
BEGI BILA NAULI UNABAKI

Da! Man u toka waifungage chelsea wamesahau,wakipata droo wanashukuru maana ndo ushindi wao

MZEMBE ACHA APIGWE TU!
 
daaah nimekubali wakuu, tmecheza Sana show game lakini Good luck to Chelsea....Bahati ilikuwa hao..wamecheza kwa tactics nyingi mwishoni....

sasa ngoja nikatulizwe na mtoto, kesho niamke na amani

Show game gani mmecheza? Nani kamzidi Hazard kwenye litimu lenu hilo leo???!

Mnajipa hopes za kijinga ndo maana hamsongi mbali. Mmecheza vibaya sana kuwa na possession ya 71 na shots on target 2 ni a disgrace to football.

Man U walikuwa bora leo lkn wamepoteza!
Ukipoteza unakuja hapa unaipongeza team iliyokupiga na ndiyo soka inavyosema

Kuja hapa kulaumu the right,the left and center inaonyesha ww sio mwanamichezao

They werent the best by any measures!!! Football isnt about possession otherwise Arsenal wangekuwa wanashindana na barca uefa huko...khe khe khe khe khe kheeeeeeeee
 
Msimu ujao unaweza kuwa mkali kuliko huu. Patakuwa hakuna World Cup hang over kama ilivyo tukosti Arsenal na Manchester United. Nadhani Arsenal na Manchester United wanaweza kuanza ligi bila kuwa na majeruhi wengi kama ilivyokuwa msimu huu. Na inaelekea unaweza kuwa msimu wa mwisho wa Mourinho darajani kama rekodi yake ya kukaa miaka 3 katika timu moja itaendelea.
 
Poleni sana mashetani, you had a "cracker-game"....mmecheza vema sana, bahati mbaya matokeo ndio zaidi..
 
Timu imecheza vizuri, Jose kama kawaida yake akishapaki basi huwezi fanya lolote,I hope Carrick au Blind atarudi next game ili Rooney arudi kucheza striker
 

We sijui umekunywa viroba..kiufundi na kimbinu ni tofauti? Mbinu ndio zinazaa ufundi kama hujui
 
Halafu siyo tabia zuri kuleta fujo msibani ujue tutakung'ta meno ohhhhh!!!!!! Lol

Mamito kiungwana matokeo yoyote timu yako ikipata ni vema kukubaliana nayo. Na huo ndio uanamichezo au ushabiki mzuri...sasa mtu anapoponda tu inakua ngumu kumuelewa!

Kwa neno lako nakaa kimya mamito
 
Unazi pembeni nadhani Manchester United wanaweza kumaliza wa pili.Ila naomba isitokee. Mechi 4 zilizopita mmecheza mpira wa enzi za Fergie.
 
daaah nimekubali wakuu, tmecheza Sana show game lakini Good luck to Chelsea....Bahati ilikuwa hao..wamecheza kwa tactics nyingi mwishoni....

sasa ngoja nikatulizwe na mtoto, kesho niamke na amani

Hanna cha bahati mkuu ni uwezo!
Mara ya mwisho chelsea mmemfunga lini?

Mpira una mambo mawili; tactic + technique
Na ukifaulu kwenye tekniki ndo unashinda.

Morinyo kamzidi baba enu mbinu.

Yani Leo mwanafunzi kamchapa kibao mwalimu wake!
Raha saaaaaana..
Moira magoli tu vingine mbwembwe
 
Poleni sana mashetani, you had a "cracker-game"....mmecheza vema sana, bahati mbaya matokeo ndio zaidi..

Nitajie incidents za leo zinazoifanya man utd kusemwa imecheza vizuri please...mbili tu au tatu.


Timu imecheza vizuri, Jose kama kawaida yake akishapaki basi huwezi fanya lolote,I hope Carrick au Blind atarudi next game ili Rooney arudi kucheza striker

Ndo maana hamfiki mbali kwa hopes zenu za kijinga....imechezaje vizuri sasa yani kwa mfano!
Mlipoona felaini ameekwa mfukoni kwa nn msiwe na plan B ya go to person kumpeleka mipira matokeo yake mkaendelea kumpa na Zouma akamficha zaidi...af mnadai mmecheza vizuri..wapiiiiiiiiiiii

Possession sio ubora jamaniiiiiiii niliseme hili mara ngapi???????? Waiii naenda kulala mimi wanafunzi wagumu hivi kuelewa ndo maana litimu lenu litaishia kuwafunga crystal palace tu.
 
Man u kafungwa na Refa wala sio Chelsea. Waliofuatilia mechi wameliona hilo.

Hahahaa another tripper...lol.

Wewe uliyekuwa uwanjani tuambie ulichoona.

Angalia vyema Terry aliupiga mpira kutoka katikati ya miguu ya Falcao...hakugonga mguu wa falcao kabisaaa. The beauty of replays af napenda ambavyo leo pundits wanawatolea uvivu leo hakuna anaye wa support aisee...
 
Jiandae kutukabidhi point zetu 3

Safari hii tutawakabidhi goli 3. Sanchez, Giroud, Ozil watatupia magoli huku DDG akilia na mabeki wake Scholes akigeuka bubu, the Neville brother watakuwa vipofu.
 

Hatufiki mbali wapi? Jose ni defensive kocha hilo liko wazi. Unategemea kucheza mbinu gani wakati timu nzima mmebaki kwenye half yenu, leo hadi Oscar alikuwa defensive midfielder. Tumewafunga Man City, Arsenal, Liverpool, Spurs, Southampton
 
Man u kafungwa na Refa wala sio Chelsea. Waliofuatilia mechi wameliona hilo.

Nilikuwa naangalia mechi yetu kwa muda mrefu. Hata hivyo naomba kuuliza.. grafani11 mbona sikusikii unaongelea kikosi kilichopangwa leo?Young, Mata na Fellaini waliwekwa kapuni. Ile mipira ya kulengesha kichwani kwa Fellaini ilipigwa au?
 
But...but...we had more
possession! But...but...we
dominated! But...hehehe...we'll
take the title next season!" are the
cries of those who don't know
what just hit them. Don't play
chess when all you know is
checkers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…