Falcao atathibitisha jinsi alivyo Flop yeye na Di Maria. Sijawahi kuona mchezaji expensive katika timu yoyote anasugua benchi kama Di Maria.Real Madrid waliwakamua karibia £60M kimacho macho kama Mtaa wa Kongo, enzi zile. Ashley Young anaonyesha jinsi gani Di Maria alivyo garasa. Two biggest Flops in the world.