ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,676
Nani anafuata?
Everton
Nani anafuata?
Hahahaaa kweli danya umeamua...
Hapo watu wa mbali na kideo wanapata picha kinachoendeleq hata nje ya uwanja
Kwa nini Pellegrini hakumpanga Kolarov badala ya Clichy? Magoli yote 2 ni uzembe wa Clichy. Goli la 2,beki gani anamwacha mshambuliaji nyuma yake badala ya kumweka kifuani? Nakumbuka Clichy alitukosesha ushindi vs Birmingham mechi Eduardo alipovunjwa mguu. Mwaka ule tulikuwa katika nafasi nzuri ya kubeba kombe
Goli ni goli haijalishi limeingiaje....tuliza mukhari....hakuna mbeleko utakayoipata hapa.....Magoli ya kindondokela kama Chelsea
Everton
Nawaombea mshinde Leo alafu nawakaribisha darajani rasmi baada ya game yenu ya leo
Kwa nini Pellegrini hakumpanga Kolarov badala ya Clichy? Magoli yote 2 ni uzembe wa Clichy. Goli la 2,beki gani anamwacha mshambuliaji nyuma yake badala ya kumweka kifuani? Nakumbuka Clichy alitukosesha ushindi vs Birmingham mechi Eduardo alipovunjwa mguu. Mwaka ule tulikuwa katika nafasi nzuri ya kubeba kombe