swali la msingi watakaa hapo hadi mei mwisho wa ligi ? hawawezi , atatolewa tu na liverpol kwa sababu mani ana game nne ngumu ambazo hawezi kushinda zote wakati liverpol ana mechi mbili ngumi . ndio maana nikasema man kucheza uefa mwakani ni ngumu kama ilivyo ngumu kupata damu toka kwenye mwamba.