Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Majogoo yanaogopwa na kila team sasa!

March 22 Man of the Match atakuwa De Gea kwa kuwapunguzia magoli.Tutashinda kiurahisi kabisa

Mbona unaeeweseka mkuu? Wenzio tunafikiria game vs gunners Monday,then spurs next weekend! Hata hatufikirii hio game ya tar 22! One game at a time! Hulali unaifikiria man utd?!!
 
Reactions: Nzi
Mbona unaeeweseka mkuu? Wenzio tunafikiria game vs gunners Monday,then spurs next weekend! Hata hatufikirii hio game ya tar 22! One game at a time! Hulali unaifikiria man utd?!!

Hata ww unajua sasa kama Anfield utaelekezwa kibra ndiyo maana hutaki hata kuielezea game hii
 
Kweli Man U ni chungu kwenu, game zooote huzioni umeona ya Man U tu?
Au hizo zingine zote hamchez Anfield?

Nani kapona Anfield recently?Aje Man U aje WHU aje Man City wote wana angalia kibra Anfield
 
Nitafurahi sana kama hadi league inaisha man u hampo big four. na ninavyoona itakuwa hivyo game ya spurs. arsenal, chelsea, evertone na liverpl zitawapunguzia point na kusababisha liver na arsenal kuwa juu yenu. Sina shaka na manc mtamfunga .
 
Nitafurahi sana kama hadi league inaisha man u hampo big four. na ninavyoona itakuwa hivyo game ya spurs. arsenal, chelsea, evertone na liverpl zitawapunguzia point na kusababisha liver na arsenal kuwa juu yenu. Sina shaka na manc mtamfunga .

Pamoja na hicho kiwango kibovu Arsenal,Liverpool,Chelsea,Spurs,Everton hawajatufunga msimu huu
 
Nitafurahi sana kama hadi league inaisha man u hampo big four. na ninavyoona itakuwa hivyo game ya spurs. arsenal, chelsea, evertone na liverpl zitawapunguzia point na kusababisha liver na arsenal kuwa juu yenu. Sina shaka na manc mtamfunga .

Nina uhakika asilimia 100 tunaingia top 4 by storm
 
By the way toka muanze leagu misheni yenu ilikuwa ni ipi? Top 4? Ubingwa?

Worry not
Tulikuwa wa 15 November sasa wa 5 na kabla ya March tutakuwa wa 3 na kabla ya May mbio za ubingwa
 
Jon Evans has been banned for six games as a punishment for spitting! I'm not gonna miss him at all!
 
Jon Evans has been banned for six games as a punishment for spitting! I'm not gonna miss him at all!

Mhh!! RRONDO kwahiyo wewe Evans hakugusi kabisa?? Halafu mbona Cisse kapewa ban ya mechi 7 ?
 
Last edited by a moderator:
Mhh!! RRONDO kwahiyo wewe Evans hakugusi kabisa?? Halafu mbona Cisse kapewa ban ya mechi 7 ?

cisse ni kosa lake la pili msimu huu, adhabu ya kutema mate ni mechi 6 plus 1 ya kurudia kosa kubwa. evans yeye ndo kosa la kwanza kala 6 kavu.

incase cisse akifanya kosa jengine kubwa adhabu inaongezeka zaidi kama surez vile
 
Last edited by a moderator:
Legend Thierry Henry anaandaliwa rasmi kuchukua mikoba ya Babu, na kelele kama zitazidi basi anaweza kabisa kukabidhiwa mikoba hiyo mapema kuliko inavyotarajiwa. I am sick and tired of babu, he has achieved a lot, but IMO it is time for him to go.

ni furaha yangu kumwona Henry pale Emirates kama manager
 
cisse ni kosa lake la pili msimu huu, adhabu ya kutema mate ni mechi 6 plus 1 ya kurudia kosa kubwa. evans yeye ndo kosa la kwanza kala 6 kavu.

incase cisse akifanya kosa jengine kubwa adhabu inaongezeka zaidi kama surez vile

Ohh kumbe! Asante kwa kunifafanulia hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…