Arsenal hatutanunua wachezaji kijinga jinga hivyo (labda baada ya Wenger). Policy yetu ni kupandisha wachezaji toka Reserve.
Hata Man Utd ilipokuwa juu haikuwa inanunua hovyohovyo itafika point tu inalazimu kufanya hivyo mfano timu isipopata nafasi UEFA ni ngumu kupata wachezaji wazuri kwa bei nzuri lazima ununue kwa bei kubwa tu
Wacha fujo tupo kwenye msiba khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Tofauti kati ya LVG na Man City na Chelsea ni kuwa wenzake walitumia pesa nyingi kugombania ubingwa yeye anatumia pesa nyingi kurudi ECL ambayo na yenyewe hadi sasa kuna uwezekano Man United wakaikosa. Arsenal tulijiwekea lengo(baada ya kujenga Emirates) la kuwa ndani ya ECL huku tukinunua magarasa, kitu ambacho tuliweza kukifanya. Hivi sasa tuna uwezo wa kununua wachezaji wa bei mbaya (kidogokidogo) tunarudi juu na maybe tutagombania ubingwa miaka michache ijayo.
Arsenal hatutanunua wachezaji kijinga jinga hivyo (labda baada ya Wenger). Policy yetu ni kupandisha wachezaji toka Reserve.
Nimeapa sibet tena..wakuu nilbet match ya leo Man u tunashnda lakn daa imekula kwangu...Enz za babu Fergie ilkuwa raha tupu hata ukibet hauwaz
![]()
Wayne Rooney and Juan Mata in private conversation, "I hate LVG Rooney" Rooney, "Me too Mata he should be fired asap." Photograph: Darren Staples/Reuters