Mkuu nilikuwa nakuweka katika top tier ya wanaojua na waliofuatilia EPL kwa muda mrefu. Hili swali linaonyesha umeingia dimbani baada ya kuanzishwa kwa Facebook. Tulibeba kombe la EPL baada ya kuwatungua goli 1-0 mfungaji Sylvan Wiltord mwaka 2001-02. Acha kusoma na kuamini gazeti la Sun, Daily Mail