Hongereni humu kwa ushindi mie nilidhani margin of victory ingekuwa kubwa zaidi ya 2-0, ila uchezaji wenu hmmmmm! si kama ule niliyouzoea enzi za SAF.
CC: everlenk.
Ni kweli mkuu lakini tunahitaji muda maana imekuwa hata tatizo kwa kocha kuelewa mfumo upi utumike ili ulete magoli zaidi na game kuwa tamu,sina mengi ya kusema maana game la leo sijaliona,Asante BAK point tatu si haba.
...labda everlenk lakini kwa maoni yangu huyu jamaa si kocha mzuri ndiyo sababu kubwa, sidhani kama anaweza kuirudisha MANU katika kiwango cha uchezaji kama cha wakati wa SAF ambapo soka lililokuwa linachezwa na MANU lilikuwa linavutia sana machoni hasa pale wanapotafuta goli kwa kila namna.
Kujenga ni kazi embu tumpe nafasi kidogo tusimMoyes kwanza......lol
![]()
Next match, Evans will be taking freekicks.
hureeeee! twasonga mbele. New Castle kamata hao saints.
vaan gal hana historia ya kupafom kwa misimu mitatu
vaan gal hana historia ya kupafom kwa misimu mitatu
Hongera mtani everlenk nao Leo ushindi kuanzi hapa nyumbani hadi EPL
Lile goli la Wilson ni bonge la goli asee