BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Pretending to be ngangari, but I can see great fear all around you.
Ahh!! Wapi tupo ngangari hatuna presha,asante kwa salamu
Ahh!! Wapi tupo ngangari hatuna presha,asante kwa salamu
Pretending to be ngangari, but I can see great fear all around you.
Hahahaha!! Kimya kingi kina mshindo mkuu.......sisi hatupigi mayowe tunasubiri muyaone wenyewe........
Khe khe khe khe unajipa moyo eeh!!!! Haya bhanaaa!!! sie tuko fit tunangoja kutia kibindoni faida yetu ya kesho tayari kwa maandalizi ya mchezo unaofuata.
Kila la heri.....
Naomben kuuliza Wacha 1 mzima?!
Ingia kule kwenye kichaka chao utamku kajaa tele, akiwapa imani wenzie!!Naomben kuuliza Wacha 1 mzima?!
Kesho baada ya game, kun Aguero atakuwa man of the mech. Jamaa yupo onfire mbaya aje... Na hapa jukwaani Wacha1 atalitawala jukwa mbaya aje! Ki ukweli jamaa namwadimire mbaya, hasa kwenye mapicha.
Kesho baada ya game, kun Aguero atakuwa man of the mech. Jamaa yupo onfire mbaya aje... Na hapa jukwaani Wacha1 atalitawala jukwa mbaya aje! Ki ukweli jamaa namwadimire mbaya, hasa kwenye mapicha.
Naomben kuuliza Wacha 1 mzima?!
Wacha 1 Mwenyewe kesho anashangilia Man Utd kimyakimya
Usiwe na hofu mambo yalikuwa mswano pale Emirates kama kawa .. ... ... ..
Mpira wa kesho mgumu kwa sababu timu zote mdebwedo .... ... ... .khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Usijali ngoja niingie home kwanza ... ... ...
1 De Gea (yupo vizuri sana now),2 rafael (da huyu huna sinaga tatizo naye kabisa van gaal alitaka kufanya kosa kwa kumuuza),3 Luke show,anaifahamu vizuri man city so kule tumeziba,4 Phil Jones huyo aguero wenu nadhani mtamsikia tu,5 Rojo Eden zeko atakuwa beki kwetu,6 Fundi kipofu aka Blind,aina ya viungo wakabaji wa kisasa zaidi wanaotumia akili zaidi kuliko mbio,sikushangaa kupata kadi Matic au Fabregas kuzimwa pale nyuma,7 Di Maria huyu maelezo yake mnayo wapinzani kumzua asionekane ni shughuli nyingine,8. Herera fundi mwingine mwenye ladha yake peke yake kwenye midfield ya Juu,9 Robin Van Persie sasa engine ya kijerumani inaanza kupata moto,tunamdai magoli 6 hadi sasa,10 Wayne Rooney nahodha mpiganaji huyu jamaa yupo tayari kufa uwanjani lakini si kufungwa na Man City hii, 11. ningependa aanze Fellain au Valencia ili kuanza kukabia juu zaidi mana hawa watu wameshajifia sa lazima wajilipue wataweka watu wa nguvu pale kati so dawa yao ni mfumo tu utakaowafunga,kesho naona goli 3 kwa man u na goli 1 kwa Man city,Yaya toure kajifia tayari,David Silva ndio huyo,Nasri hana Mpya.
Hawa jamaa kidogo nyuma wapo vizuri lakini safu ya Man U pale mbele ni ngumu kukosa goli gem ya kesho[/QUOTE
Ningependa man u ashinde lakini tambo zako mh sijui itakuwaje maana umekuwa mc wakati mpira dk 90 na nyogeza kidogo.ntavumilia tu ili maombi yangu anayeongoza atanue wigo