privacy
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 1,446
- 1,282
Manchester bado wabovu!
Bado unaumwa na Kama dozi umeshaimaliza basi itakua unahitaji maombezi..!!
Manchester bado wabovu!
Point ya Msingi hapa ni kwamba ulikuwa ni Average tu!!!
Na hukutegemea kama utatoa draw na Manchester utd (thread yenu inajieleza)...
So, syo mbaya kama uki-Admit tu!!!
Manchester bado wabovu!
Its United and O.T....there is no day and no team inayoweza kusema there are 100% sure watashinda pale.
Wewe subiri zamu yako uende O.T , hopefully utakuwa na first eleven yako
Kalou bhana...
Kabla ya Game, mbona mlikuwa hamsemi hivyo???
Au hujapita kuichungulia *thread* yenu kabla ya game ya leo???
kabla ya game lazima mjigambe ,sasa wewe ulitaka tusemeje tena na tuko kwenye thread yetu..
Kujigamba hakukatazwi..sema nyiye Chel$ki$ mlikuwa mmejiaminishia ushindi kwa asilimia 100...na kusahau maajabu na uzuri ya soka, dk. 90 ndiyo mwamuzi..
Tuombe uzima, Januari United itakapokuwa kamili (kwa kupata CB), tutawakalisha darajani...
Man Utd LOGIC.Kujigamba hakukatazwi..sema nyiye Chel$ki$ mlikuwa mmejiaminishia ushindi kwa asilimia 100...na kusahau maajabu na uzuri ya soka, dk. 90 ndiyo mwamuzi..
Tuombe uzima, Januari United itakapokuwa kamili (kwa kupata CB), tutawakalisha darajani...
​Hongereni Wakuu kwa kujinyakulia point moja muhimu sana.
Wewe mbayaaa!!! Duh!! Dua zako zimekuwa kweli,haya bana......lakini hata hilo heri tu.
Unaona eeh!!!! Hata point moja ni heri tu hongera sana....hebu fikiria mngetoka bila hata point, ungenunaje leo?
kauli ya kukata tamaa
Shukrani aisee ingawaje wewe ndo ulianza kunibania toka jana mpaka leo nusura...niliminya mpaka kikaeleweka, Lolz
hahahahahaha lol!!!! Ni sheeeeeedddddaaaaaaah.... Chezeya kupenda weye!!!! Natamani ningekuona ukiwa safarini huku ukiwa busy kuminyaaaaaaaaaaaaa kwi kwi kwi kwi lol!!!! Haya bhanaaa next week kuna mchapo mwingine wa nguvu na MANC jiandae kuminya tena. Mie nitakuombea sare nyingine.
Hahaha!! Kha!! Yaani wewe hunipendi kabisaaaa!! Nidraw tena? Ila wale watoto wetu wana kismati cha kutusumbua sana mara nyingi wanatuaibisha ila safari hii moto utawawakia,sema wana hasira ya kufungwa watakuwa wabishi sana ila natumai tutawachapa safar hii,duh! Mech ijayo ntaomba na mtu anisaidie kuminya....lol
Kukata tamaa? Chel$ki$ wameponea tundu la sindano stats dont lie chifu...