man u hata wakiwafunga magoli kumi timu pinzani wakiamua kufunguka na kushambulia kwa kasi yanarudi yote , hakuna beki pale yenye uwezo wa kuhimili pressure . Huwezi kuchukua mabeki toka timu b waje wacheze bpl.
Mkuu ligera tumeshaweka kambi humu mkuu! Nimefurahi kuona uwepo wake mkuu!
Kweli Chelsea tunatisha...!
wakuu kambi mapema hv!
Ukiona jirani yako anahamia kwako ujue kuna vitu anavitatamani kwako.
Hakuna chochote mkuu cha kutamani..! Tumekuja kupiga story tu mkuu...!
Kila siku nawaambia, never underestimate united.
Hatuizarau Man Utd mkuu...!
Mkuu ligera tumeshaweka kambi humu mkuu! Nimefurahi kuona uwepo wako mkuu!
Kweli Chelsea tunatisha...!
we acha tu safari hii yaani raha tupu ukiwa chelsea . Man u , man c , arsenal na lvp wanakabana koo huku chini , sasa maisha ni raha mustarehe
Ukiona jirani yako anahamia kwako ujue kuna vitu anavitatamani kwako.
wakati mwingine inakuwa kinyume chake. Hata marekani taifa kubwa linapo poromoka kiuchumi kila mtu ina kuwa gumzo mitaani
Msikimbiane huko mbele ya safari.
Ndicho nilichomanisha kila mtu mtaani anakuwa akiitamani kimoyo moyo.
aaah,aah, kiroho roho eti . Hivi kwa nini mashabiki wengi wa man ni wababe , wabishi na wana jiamini sana
endeleeni Kuota ndoto zenu za mchana,inamaana wakati mnashinda hizo mechi tano timu zingine zilizojuu yenu kwenye msimamo wa ligi watapoteza mechi zote au?Najua kaka yaan tukipata matokeo game hizo tano znazokuja kiukwel tutakuwa na nafas nzuri sana ya kurudisha ndoo mtaa wa pili frm where it is currently