Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

88. GOAL FOR CITY! Great break from City. Zabaleta squares to the Frank Lampard who can't stop scoring at the moment! Hull 2-4 Manchester City FC
 
Its a win nonetheless ila nadhani mmeona bado defence yenu si nzuri
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Very hectic match! ina maana tuanze kuchungulia mpira wenu maatokeo tu bila kuangalia kwa amani??
 
Huyu Refaree aliniongezea presha ila 3 points zinatupeleka nlipokuwa napataka 7th (Juu ya Liver)

Red Card ya Rooney imenisikitisha kwa upuuzi alioufanya ila hatuwezi jua kipi kingetokea kama asingefanya hivyo..... Ila kwa upande mwingine nlikuwa nasubiria kumuona Falcao & RVP huku Mata akicheza nafasi ambayo alicheza Rooney leo nahisi itakuwa hivyo J2 ijayo dhidi ya Everton!!
 
Lvg kamfia moyes imebaki kuvunja record yake.

Tuko nafas ya 7.

Rooney umetupa preshaaaaa .
 
Huyu Refaree aliniongezea presha ila 3 points zinatupeleka nlipokuwa napataka 7th (Juu ya Liver)

Red Card ya Rooney imenisikitisha kwa upuuzi alioufanya ila hatuwezi jua kipi kingetokea kama asingefanya hivyo..... Ila kwa upande mwingine nlikuwa nasubiria kumuona Falcao & RVP huku Mata akicheza nafasi ambayo alicheza Rooney leo nahisi itakuwa hivyo J2 ijayo dhidi ya Everton!!

Nilivyoiona ile red card ilibaki kidogo sana kuzima TV nikalale. Yani muda uliopita nilikuwa na stress.
 
Back
Top Bottom