Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hayo ya welbak miaka 14 hajawai fanya jipya aende tuu emirate pengine watavumilia ujinga
 
Tusipo toka na Point 3 hiyo kesho, niitaamini kama moyes tulimuonea tu kumfukuza.
 
Mkuu Kitoabu point 3 hazina mjadala kwan tayari zipo kibindoni tunachosubiria ni idadi ya magoli isiyopungua 5.

Tusipo toka na Point 3 hiyo kesho, niitaamini kama moyes tulimuonea tu kumfukuza.
 
Last edited by a moderator:
BxbNlOEIcAEQfRx.png
 
.........leo tupo hapa #MtaaWaSaba ! Gaal-aeticos watatoa taswira gani leo? Dakika 90 ndio mwamuzi.... :coffee:
 
Mkuu Kitoabu point 3 hazina mjadala kwan tayari zipo kibindoni tunachosubiria ni idadi ya magoli isiyopungua 5.
Dah! Itakua mali sana, sababu wenye timu za kuunga unga jana wamesha onyesha upuuzi, kilichobaki ni sisi tu.
 
Last edited by a moderator:
najua leo kilio kingne kama sio draw man u lazima apigwe nishasema timu zinazomilikiwa na familia zimeoza sasa leo akishinda man u wewe nitafute tigo pesa nikutumie mtonyo
 
Nahic...una...mpunga...wa..kuchezea...ni...bora...ukapeleka....kwa...yatima...
 
najua leo kilio kingne kama sio draw man u lazima apigwe nishasema timu zinazomilikiwa na familia zimeoza sasa leo akishinda man u wewe nitafute tigo pesa nikutumie mtonyo[/QUOfTE]
Mnakunywa viroba vyenu hukooh mnaona jf ndio sehem sahihi ya kutapikia matapishi yenu. Kama unajiamini kwanini usiweke ahadi ya ban japo ya mwezi mmoja tu.
 
Back
Top Bottom