Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

£63.9 M for Di Maria confirmed hahahahaha ponda mali kufa kwaja. Gary Neville na Dwight Yorke wanalia skysports.


Hahahaha najua utakuwa umechukia moyoni

Ila kumbuka nilikuambiakabla ligi kuanza kuwa "World Class Players watakuja Utd*
 
Hi timu haiitaji di maria hata kidogo bali ina hitaji mabeki watatu midfilders wa maana watatu na striker mmoja wa maana bila hivyo mnawafata full ham na usajili wen u huo wa kukurupuka
 
Sioni sababu ya kumleta Di Maria kwa hela nyingi hivyo, hata saidia hii timu kwank ubovu wake uko nyuma na kati kati
 
Uza cleverly, young, carrick. fletcher na anderson

Hii ni mizigo
 
.....Angel Di Maria could now cost Manchester United £75m after Real Madrid raise their asking price for midfielder

Read more: Angel Di Maria could now cost Manchester United £75m after Real Madrid raise their asking price for midfielder | Mail Online
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook

mambo yenda yakijiongeza!

Brother, tatizo linaanzia number 6 kurudi nyuma. Hata akija, nadhani formation ya 352 haifanyi kazi, beji imetoboka na hatuna 6 iliyokamilika
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hahahaha najua utakuwa umechukia moyoni

Ila kumbuka nilikuambiakabla ligi kuanza kuwa "World Class Players watakuja Utd*

Hahaha hakuna aliyechukia ukweli wa mambo ni kuwashangaa mlivyopandishiwa bei £63.9M ni bonge la mkwanja. Real Madrid wanarudisha pesa walizowapa kwa dili la CR7. Mlikuwa mnatucheka kuuziwa Ozil kwa £43M leo wajanja mmelanguliwa. Mlishasajili World Class players kina Fellaini mwanzoni
 
Hahaha hakuna aliyechukia ukweli wa mambo ni kuwashangaa mlivyopandishiwa bei £63.9M ni bonge la mkwanja. Real Madrid wanarudisha pesa walizowapa kwa dili la CR7. Mlikuwa mnatucheka kuuziwa Ozil kwa £43M leo wajanja mmelanguliwa

Tunyamaze kwanza mpaka uone hiyo 'Done Deal' na kiasi kilicholipwa maana hizi nazo bado ni tetesi so zinaweza kuwa za ukweli au uongo tuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Man U mbovu ndio uibuka na kufanya maajabu, Miaka yote Manchester haikuwahi kuwa na mwanzo mzr ukiondoa nyakati za akina Andy cole, after all watz tunaongea sana,

Mwaka jana tulisema hv hv mwisho wa siku tukaishia wa saba,tuache porojo we need result.
 
Brother, tatizo linaanzia number 6 kurudi nyuma. Hata akija, nadhani formation ya 352 haifanyi kazi, beji imetoboka na hatuna 6 iliyokamilika

LVG halioni hilo, no wonder pundits wanacheeeeeka yaani katumia pesa miiingi kumnunua Di Maria, [....another 'Juan Sebastien Veron?' time will tell] badala ya kuimarisha Right back, Left Back na Centre back wa nguvu!.....
Mind you, miaka yote ManUnited tishio la mashambulizi yao yalikuwa yanaanzia Right back au left back kisha yanapanda na wingers,......ila ndio hivyo tena #BluePrint ya SAF imevurugwa!
 
==> UKWELI KUHUSU DIMARIA MPAKA SASA HUU HAPA ==>


#DIMARIA baada ya kocha wake ANCELOTI kuweka wazi kuwa Kijana wa ARGENTINA ametuma maombi ya kuondoka msimu huu kwa sasa amepewa siku zilizobaki atafute timu
atakayoenda.

#UNAKUMBUKA KUWA SUPER CUP DIMARIA HAKUCHEZA kwa kuwa endapo angecheza ingekuwa popote atakapoenda asingeweza kucheza CHAMPION LEAGUE kwa mujibu wa taratibu za michuano hiyo ndio DIMARIA NA KHEDIRA hawakupangwa kwa kuwa walijulikana toka mwanzo nini wanataka wakati MADRID
hawataweza kuwatimizia.


#MKE WA DIMARIA amechukizwa jinsi mume wake alivyotendewa na REAL MADRID ikiwa ina maana hawauthamini mchango wake. Siku tatu zilizopita MKE WA DIMARIA alimponda kocha wa REAL MADRID kupitia mtandao wa kijamii wa INSTRAGRAM. Mbali na hayo MKE WA DIMARIA jana USIKU WA IJUMAA amekuwa akitumiwa picha ya mumewake na mashabiki wa MANUTD akiwa MUMEWE amevaa jezi za manutd na alichofanya ni kuzi like zote picha ya DIMARIA akiwa na jezi ya MANUTD.


#DIMARIA kutokucheza kwake jana katika mechi ya REALMADRID na ATLETICO ilitoa picha kuwa
wakati wa DIMARIA kuwepo REAL MADRID umekwisha baada ya kuambiwa hatakuwepo.


#CRISTIANO RONALDO baada ya kufanya jitahada zake zote kumbakisha DIMARIA kushindikana amemwambia DIMARIA kuwa kama
anaondoka klabu ya kujiunga ni MANUTD pekee.


#CRISTIANO RONALDO anakila sababu kumshauri DIMARIA kuchagua MANUTD kwakuwa anajua mazingira ya MANUTD na ndo
pata mfanya kuwa mwanasoka bora zaidi.


#MCHAMBUZI MMOJA toka spain anaitwa BALAGUE ambaye ni maarufu na ana mahusiano ya ukaribu na klabu zote za SPAIN amesema DI MARIA amechagua MANUTD na wiki ijayo wataanza kikao cha kumalizia kukamilisha
uhamisho wake wa kwenda MANUTD.


#JORGE MENDEZ ni wakala wa DIMARIA ambaye ni wakala wa wachezaji wengi wa kubwa
kama CRISTIANO RONALDO.Huyu wakala ndiye wakala mwenye mahusiano mazuri na MANUTD linapokuja swala la usajili na SIR ALEX FERGUSON katika kitabu chake alichokitoa mwaka huu amesifu wakala huyu kuwa ndiye
wakala bora aliyewahi kufanya naye kazi.



#IKUMBUKWE kabla ya JAMES RODRIGUEZ ajaenda REAL MADRID wakala huyu alisema kuwa yupo katika mipango ya kumpeleka JAMES RODRIGUEZ pale REALMADRID huku DIMARIA
ampeleke MANUTD kinatokea sasa kama mambo yakienda vizuri.


#KWASASA inaminika kuwa SKYPORTS wamemuuliza yule mchambuzi wa Spain BALLAGUE ndo amewaambia kuwa mambo
yamekamilika huenda wiki ijayo DIMARIA akawa mchezaji wa MANUTD na DIMARIA mwenyewe
kachagua kwenda MANUTD.


==> #NI HAYO 2 WADAU WA MANUTD


©Seja Scholes



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wakuu mmeona ee shida yetu ipo six kiukwel mun u hatuna 6 ya maana JIBU NA MUN U LINGEPATKANA KAMA WANGESAJIL M2 KAMA KEDERA AU NIGEL DE JONG
 
Tanzania kila mtu ni mtaalam wa soka. Sijui kwa nini timu zetu hazifanyi vizuri
 
10552454_781810915204149_8844073486185321542_n.jpg

hahahaha ............ iteteeni nafasi yenu, hongereni kw ushindi mana droo ndio ushindi kwenu!"

Grand PA
 
Back
Top Bottom