KUWENI WAPOLE
KWANINI MAN UTD NI BINGWA MSIMU 2014/15
1. LUI VAN GAAL NI "QUICK LEARNER"
✔ Van Gaal Ameshinda kombe katika misimu yake ya kwanza "ubingwa wa ligi" katika club zote nne alizofundisha , ana record ya mabadiliko ya haraka na mafanikio ndani ya muda mfupi katika timu zote nne, Alifanya Ajax, aliirudisha Barc juu, akiwa Az Alkmaar 2005/06 aliirudsha juu na akawa weka record ya kumaliza ligi akiwa na point nyng zaid ndan ya miaka 25, hakuishia hapo tu Munich na penyewe alifanya lile lile, anauwezo wa kusoma na kutambua uwezo wa wapinzan mapema na kufanya maamuz sahihi
2. HATUSHIRIKI MICHUANO YA BARA LA ULAYA
✔ Msimu ulioisha tulimaliza nafas ya 7 xo hatutoweza kushiriki UEFA wala EUROPA, kwa biashara tutaathirika kias flan but kwa upande mwingine hii n kama baraka ndani ya mkosi, timu haitosafiri sana, itakua na gemu 1 kwa wiki, hatutokua na majeruh ya mara kwa mara hope Rooney na RVP wakisaidiwa na wakali kama kina Mata Adnan na wenzao watakua na mda wa kutosha kujiaanda kuwatafuna wapinzan, hatuhitaji kikos kikuubwa kwaajil ya Rotation or wat , we need a smaller group with a more settled team--Road to succes, tutakua na advantage kama liverpool waliyokua nayo msimu uliopita
3. HATUNA CHA KUSUBIRI, EPL N MALI HALALI YA MAN UTD
✔ Tokea EPL ianze Inamiaka 22, Man utd ni bingwa wa EPL mara 13, xo 22-13= 9, hyo mara 9 zimeganawana club kama 5 hv, sina kumbu kumbu vzur but sijui kama ndan ya miaka 10 iliyopita tumewah kukaa zaid ya musimu 2 bila ubingwa wa ligi na kama imetokea kukaa misimu 2 mfululizo bas n mara 1 tu, tuna kila sababu ya kurudsha kikombe nyumban , nakumbuka ile ya arsenal+ Chelsea na mikokoten ya hela
4. MWANZO MPYA NA SURA MPYA
✔ Uzao mpya wa man utd [Re-birth of man utd] knowledge and experience( LVG& CLASS OF 92. Yes, we gat it all. Tuna Giggs na wenzie pale, Tuna Van Gaal muumin wa vijana wadogo kocha mwenye kipaji cha kipekee, mkumbuke tuna watoto 6 from Man utd academy wako kule kwa obama na wote wana uwezo---Road to succes
5. BURUDANI
man utd ain't just want to be succesfull, we want to win with stlye, kwa ambao mmefanikiwa kuona yanayotokea pale USA mtakubaliana na mm katika hili, kinachofanya na man utd n zaid ya burudan, intermilan imewapata kisawa sawa hii
6. POST WOLRD CUP IS PEAK TIME
tuna zali na WC, baada ya WC kama 4,,5 hv zilizopita msimu unaofuata man utd ilimaliza kilelen