Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 2,209
- 4,402
sema show za magwaya kama hivi ndio zinatufutahisha sana wapinzani hapo bado hajajifunga na kutoa mabokoUmenikumbusha machungu aisee😁😁 ila dah siiisi bado sana mkuu
se
sema show za magwaya kama hivi ndio zinatufutahisha sana wapinzani hapo bado hajajifunga na kutoa maboko
Pupate LB,RB na striker kuhusu balde ngoja tuone.ulIkuwa sahihi mkuu na wamenikosha sana, sema nikikumbuka hatuna Backup ya LB na hii Stricking Force yetu ya Sèsko na JZ naona Bado hari ni Tete sema naona Balde Barca wanamwachia sijajua Dogo anashida gani tusije kubeba kiraka.
Niliongelea kwamba sioni Carrick akipewa support kwenye usajili.Ulionhea kwamba kikosi chetu kibovu?
😅😅😅 na bado🤣🤣🤣 Hakuna rangi tutaacha kuona, kweli Manjesta inachekesha kama sio timu yako.
Hakuna kitu inanaiuma na imenikosesha kabisa hamu ya Mpira kama Arsenyau kubeba kombe kwa dhulma, yaani timu haipati points 3 mpaka wapate mipira ya kona halafu wamsongesonge kipa ndio wapate goli.
Arsenyau mmeinajisi Epl kiasi kwamba imepoteza mpaka mvuto.
Mbuzi katoliki nyie.
Sijui Casado namwona mimi peke angu🚨❌ Alejandro Balde, Marc Casadó and Hector Fort are not in Barcelona matchday squad for today’s game vs Elche.
They all have chances to leave Barcelona before the end of the window. Fabrizio Romano (@FabrizioRomano) on X
— Fabrizio Romano (@FabrizioRomano)
Aug 23, 2026
Maguire have started again
Ile game nyumbu ilibidi mfe chuma nne au tatuUliona game Mkuu au umehadithiwa na ukaishia kuona live Score.?
Kula mtori nyama zipo chin
Wala usiwe na shaka. Fulham atawapiga 3-0 au 4-0 na nyie mtakuwa chini ya Manyumbu.
Naona tetesi tunaweza kusajili LB lewis hall au balde
Pia striker tutasajili
Game ya tano zijazo tutashinda na confidence itarudi
Lkn binafsi INEOS inabidi km wamemuamini carrick basi wawe wamemchunguza vizuri, nitamuhukumu carrick baada ya mechi tano zijazo
Lewis Hall wamsema hauzwiNaona tetesi tunaweza kusajili LB lewis hall au balde
Pia striker tutasajili
Game ya tano zijazo tutashinda na confidence itarudi
Lkn binafsi INEOS inabidi km wamemuamini carrick basi wawe wamemchunguza vizuri, nitamuhukumu carrick baada ya mechi tano zijazo
Lewis Hall wamsema hauzwi