Hivi mkuu, unaweza kutuwekea hizo records za kuhatarisha au kushtua sana alizopata Baleba kwenye soka ?Ni kweli ameprove PL lakini shida ya baleba siyo kiwango, shida aina ya injury aliyonayo. Baleba anaweza asiwe na muendelezo wa fitness kwasababu ya majeraha, na hii itachangia sana kushusha kiwango chake. Mfano angalia De light na mazrawi, walikuwa na unjury record mbaya na kweli wamekuja utd tunaona kinachoendelea, siyo wachezaji wabaya ila hawatupi muendelezo wa mechi.
Nimesema kone kwasababu, kwanza siyo wachezaji wote waliosajiliwa kutoka Serie A walifeli, correction pogba hakudrop, ila overall perfomance ya timu ilikuwa mbovu na jinsi pogba alivyokuwa anatumiwa uwanjani, kone naye ameshaprove kwenye kila kitu, angsajiliwa utd angefanikiwa tu kwa muundo wa timu wa sasa.
Anyway hata mimi naomba majeraha yasimuandame huko Utd.
Arsenal mlikuwa n nidhamu gani ya usajili jamani , embu acheni ujinga bwana.Ni kweli ilichukua misimu mingi ila kulikuwa na nidhamu ya usajili pamoja na malengo yanayo onekana.
Je malengo yenu ni yapi msimu huu? Kushiriki au kushinda?
Samahani hao uliowataja walikuja kabla au baada ya Arteta?Arsenal mlikuwa n nidhamu gani ya usajili jamani , embu acheni ujinga bwana.
Kina Pepe, Lokonga, Lacazete, Aub, Nk nk, takataka zilikuwa kibao.
Arsenal mmeanza kusajili vzri labda misimu mitatu iliyopita naeza kubali
Umesema arsenal mlikuwa na nidhamu ya kusajili. Unaanza kutafuta chocho za kukimbia na mpira kwapani.Samahani hao uliowataja walikuja kabla au baada ya Arteta?
Samahani nadhani sikuweka wazi ila nilikuwa naongelea era ya Arteta.Umesema arsenal mlikuwa na nidhamu ya kusajili. Unaanza kutafuta chocho za kukimbia na mpira kwapani.
Huyo manu kone ndio rekodi yake ya majeruji inatisha zaidi. Baleba man u walimtaka tangu msimu jana. Waliacha ndala baada ya brighton kutaka paund milion 100.Manchester united wanakaribia kumsajili kiungo wa brighton carlos baleba. Huyu bwamdogo siyo player mbaya ila injury record yake kwa msimu uliopita ilikuwa inatisha, nafikiri ndiyo maana man utd walidanda kwa midfielders wengine.
Kabla ya kufanya sajili huwa scouts na boards wanafanya analysis ya mchezaji wanaemtaka interms of perfomance,injury records,intensity ya mchezaji kulingana na falsafa za klabu, pamoja na price.
Carlos baleba alikuwa na injury record mbaya na hii inanipa mashaka kama atakuwa na fitness ya moja kwa moja kutokana na kukosekana kwake uwanjani mara kwa mara, technical bench wanatakiwa kuhakikisha wanaboresha kiwango cha bwamdogo santos kwasababu dogo naona ana fitness sana kuliko baleba, ili baleba awe kama backup.
Man u wanafanya huu usajili kwa kuondoa lawama tu, bora wangeenda kutoa £70 kwa manu kone angalau ungekuwa usajili wa uhakika zaidi.
2019/20Samahani hao uliowataja walikuja kabla au baada ya Arteta?
Yani mtu hafanyi hata utafiti kidogo, hivi anawajua wachezaji ambao ni injury prone huyu kweli, tunamuonesha mfano sasa kuna Mason huyu anaumia hata akiwa kwake tu bila kucheza 😅😅Huyo manu kone ndio rekodi yake ya majeruji inatisha zaidi. Baleba man u walimtaka tangu msimu jana. Waliacha ndala baada ya brighton kutaka paund milion 100.
Muafrika uyo mkuu, si unajua wachezaji wa kiafrika wana umri wa mpira na umri wao halisi.Huyu tushamchukua wala uswaze hela umri wake ni 22yrs
Bro ni stori ndefu sana nikianza kukuelezea na vile umekuja kwa jazba pamoja na fikra zako kichwani itakuwa ngumu kukuelezea.2019/20
Pablo Marí
Cédric Soares
Willian
2020/21
Gabriel Magalhães
Thomas Partey
Rúnar Alex Rúnarsson
Martin Ødegaard (loan)
Mat Ryan (loan)
2021/22
Ben White
Aaron Ramsdale
Martin Ødegaard (permanent)
Takehiro Tomiyasu
Albert Sambi Lokonga
Nuno Tavares
Auston Trusty
2022/23
Gabriel Jesus
Oleksandr Zinchenko
Fabio Vieira
Matt Turner
Marquinhos
Leandro Trossard
Jakub Kiwior
Jorginho
2023/24
Declan Rice
Kai Havertz
Jurrien Timber
David Raya (loan → permanent)
2024/25
Riccardo Calafiori
Mikel Merino
Tommy Setford
2025/26
Kepa Arrizabalaga
Martin Zubimendi
Christian Nørgaard
Tuonyeshe hiyo nidhamu, hao wa Arteta
Humu ndani kukiamuaga 😀Mkuu wewe timi gani kwani maan msimu uliopita Carrick kawaparaza big six wote na kikosi kile na alichukua point nyingi kulikobkocha yoyoye EPL maana yake tungefukuza Amorim mapema huenda tungebeba ubingwa, mpira sio maneno ni data.
Nyumba bana, unasema Arsenal tulichukua ubingwa kwa uzembe wa City kwani nyie nyumbu mlikuwa wapi wakati huo😂Acha mambo ya ajabu bhana timu yenye malengo inafunga magoli ya set piece tu. Ndio maana tuliwachakaza na hata EUFA pia mlipigwa na legue mlichukua tu kwa uzembe wa man city la sivyo mngeondoka patupu tu. Hivyo msijisifu sana mkadhani mmekamilika.
Watuweke wazi malengo yao mwaka huu ni yapi.?Nyumba bana, unasema Arsenal tulichukua ubingwa kwa uzembe wa City kwani nyie nyumbu mlikuwa wapi wakati huo😂
Msimu mpya unaelekea kuanza ikifika December mtaacha kusupport team zenu muishabikie tena city iizuie Arsenal kuchukua ubingwa.
Mtateseka sana
Kwa bahati mbaya sina orodha kamili ya mechi alizokosa kwasababu ya injury ila nilimfatilia sana kwasababu tulimkosa, but uhakika ni kwamba alikuwa anacheza mechi kadhaa then anaenda injury kumbuka baleba ana injury ya enka, kama umewahi kucheza mpira utaelewa kwamba injury ya enka ni miongoni mwa injury mbaya kwa mchezaji yoyote.Hivi mkuu, unaweza kutuwekea hizo records za kuhatarisha au kushtua sana alizopata Baleba kwenye soka ?
Kwa ninavyojua mimi, siku nyingi kabisa amekuwa bench sababu ya injury ni approximately siku 30 hivi.
Yeah ni LB nafikiri hajaaminiwaHivi Deogi Leon sio LB?
Ili uwe bingwa lazima umfunge bingwa😂Uko sahihi ila hutacheza na Arsenal kila siku kaka?
Is arsenal a benchmark to your success?
Sawa ngoja tumsubiri baleba mpaka mid septemberHuyo manu kone ndio rekodi yake ya majeruji inatisha zaidi. Baleba man u walimtaka tangu msimu jana. Waliacha ndala baada ya brighton kutaka paund milion 100.