Unajua kwamba full backs za Arsenal zote timu walizotoka walikua wanacheza km CBs?Heaven na yoro ni CBs wazuri siwez kuwapuuza
Kwani arsenal nje ya gab na saliba mna depth kias gani??
Lakini sio lzm tufanane na arsenal, pia bado tunatengeneza timu nyie mnavuna timu
Hao niliooridhesha wote ni CBs lkn LB na RB tunao na tunao wanaoweza kucheza CBs km shaw na mazraoulUnajua kwamba full backs za Arsenal zote timu walizotoka walikua wanacheza km CBs?
Timber, Calafiori, Hincapie, Ben White, Mosquera.. they can all play as CBs na pairing yenu ya Maguire na Heaven cannot match their quality.
Kwa maana nyengine hao wangekua kwenye kikosi chenu wangeanza direct, except kwa Ben White tu ambae kiwango chake lately hakieleweki.. ila hao walobaki wote wanazima km full backs pale Arsenal sababu ya uwepo wa Gabriel na Saliba kwenye maeneo yao.
Kabebe UEFA uje uongee hapaNyie wachovu habari zenu?
Aisee kama mnavyojua mabingwa wa EPL tuko busy na maandalizi ya kuchukua tena ubingwa msimu ujao.
Hivyo basi, msimu ukianza, tunahitaji ushirikiano wenu wa points 6, yaani kupokea vichapo kutoka kwetu nje ndani.
Michango yenu nyie na wazembe wengine akina Chelkenge, Livakuku na wengineo itatusaidia sana kufikia kusudi letu hivyo mtoe kwa moyo.
Tunatanguliza shukrani za dhati.
Sisi ndiyo Ze Gunners aka Wafyeka Vichaka. Kichaka cha ligi mlichokuwa mnajificha tumeshakifyeka sasa bado hicho cha UEFA Champions League. Hicho nacho tutakifyeka hivi punde tu.Kabebe UEFA uje uongee hapa
Sawa sasaSisi ndiyo Ze Gunners aka Wafyeka Vichaka. Kichaka cha ligi mlichokuwa mnajificha tumeshakifyeka sasa bado hicho cha UEFA Champions League. Hicho nacho tutakifyeka hivi punde tu.
Vini haondoki madrid. Anawatumia tu arsenal kama bargaining chip ya kupata mkataba mnonoMkuu Bagabeach tuwe wakweli tu, hii arsenal ya msimu huu ikitokea deal la Vini limetiki, watatulaza macho sana.
Wakati huo Man Utd plan za usajili ni kama tunasikilizia
Leta picha kama hii ndio tuongeeSisi ndiyo Ze Gunners aka Wafyeka Vichaka. Kichaka cha ligi mlichokuwa mnajificha tumeshakifyeka sasa bado hicho cha UEFA Champions League. Hicho nacho tutakifyeka hivi punde tu.
Tuletee picha recentlyLeta picha kama hii ndio tuongeeView attachment 3645220
Nawewe tuletee ya zamani kama hiyoTuletee picha recently
Mimi ninayo ya zamani na ya hivi karibuni sisi huwa team yetu haimalizi misimu miwili bila kombeNawewe tuletee ya zamani kama hiyo
ZImebaki dakika chache vini anasaini miaka mitano los blancos.Vini haondoki madrid. Anawatumia tu arsenal kama bargaining chip ya kupata mkataba mnono
Aseno ni maandazi sanaMimi ninayo ya zamani na ya hivi karibuni sisi huwa team yetu haimalizi misimu miwili bila kombe
May 2027 tu hapa.Leta picha kama hii ndio tuongeeView attachment 3645220
Mimi ni Chelsea fan sio Arsenal mabingwa wa club wa DuniaAseno ni maandazi sana