King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,314
- 5,988
Tonali ameshaenda spurs tayari, united hawakua seriously kumchukua. Tchouamen wasahau kabisa hata huyo bouaddi nae wasahau unafikiri madrid na lile hawataki hizo Β£100m.Tonali anaenda spurs,scott bado haieleweki man u wanachungulia pochi, baleba amedrop man u, hawawezi kubet, yule dogo wa moroko, na ile mido madrid ndo karata ya mwisho ya utd otherwise wasahau kushindania ubingwa wa epl.
Wakikosa hao utd msimu ujao kilio ni kilekileTonali ameshaenda spurs tayari, united hawakua seriously kumchukua. Tchouamen wasahau kabisa hata huyo bouaddi nae wasahau unafikiri madrid na lile hawataki hizo Β£100m.
NtYga fuentte Mr Mike ze-dudu mateus Fernandes to Tottenham, here we go pound Β£85m waliyokua wanaitaka westham, with no adds on. pia mchezaji kulipwa pound Β£250k kwa wiki na pesa nyingine ya usajili pamoja na wakala wake. Sina mengi ila uongozi wa manunited, wanazingua sana. Leo siku nzima walikua wanafanya contact kwa mchezaji na wakala wake, ili iweje sasa. Nakama walikua hawataki,kutoa hiyo hela si wangemwacha tu.
Hapa ndio nimejua Ruben amorim, alikua sahihi kuhusu wamiliki wa united. Mchezaji hana msimamo, yeye anasema ataenda popote iwe man united au Tottenham. Na bado uongozi unaendelea kumshawishi, ni bora wangemtema kitambo tukaepusha hii dharau. Kama lengo ni baleba si wangesema tu. Dah ijapokua mateus Fernandes hana hiyo thamani lakini haikustahili tumpoteze kwa Tottenham ambaye alikua anaenda kushuka daraja.
Bora hata ingekua club nyingine kama psg au real Madrid.
Kwa EPL, tuliwahitaji sana wachezaji wa pale pale katika ujenzi wa Msingi imara wa timu hasa idara ya Kiungo..NtYga fuentte Mr Mike ze-dudu mateus Fernandes to Tottenham, here we go pound Β£85m waliyokua wanaitaka westham, with no adds on. pia mchezaji kulipwa pound Β£250k kwa wiki na pesa nyingine ya usajili pamoja na wakala wake. Sina mengi ila uongozi wa manunited, wanazingua sana. Leo siku nzima walikua wanafanya contact kwa mchezaji na wakala wake, ili iweje sasa. Nakama walikua hawataki,kutoa hiyo hela si wangemwacha tu.
Hapa ndio nimejua Ruben amorim, alikua sahihi kuhusu wamiliki wa united. Mchezaji hana msimamo, yeye anasema ataenda popote iwe man united au Tottenham. Na bado uongozi unaendelea kumshawishi, ni bora wangemtema kitambo tukaepusha hii dharau. Kama lengo ni baleba si wangesema tu. Dah ijapokua mateus Fernandes hana hiyo thamani lakini haikustahili tumpoteze kwa Tottenham ambaye alikua anaenda kushuka daraja.
Bora hata ingekua club nyingine kama psg au real Madrid.
Mateus kaniuma ila Tonali kaniuma zaidi...Kaka sielewi ninajihisi nini kama ni Hasira ama huzuni maana naona kabisa furaha yenyewe sina kwa kilichotokea Leo sokoni bwana Mr Mike atakubariana na mimi tu kuwa INEOS wanaupuuzi kiasi ambacho itatuwia ugumu san Mashabiki wa Man U kuwasamehe ila acha tuone sisemi sana.
Mimi si mtabiliπππUgarte ameumia
Casemiro ameondoka
Tumebaki na Mainoo + Bruno
Wamiliki wameshindwa kutoa 85 kwa Tonali ama Matheus, sasa watasajili nani?
Alex Scott jamaa wanataka 90
Tchoumeni 75 - 80
Baleba upepo ulishakata
Baadae Carrick aungushiwe zigo la lawama, tushukuru msimu jana Amorim alikua na ushawawishi kwa wachezaji tukawapata akina Cunha, Sesko, Mbeumo
Ukweli katika maisha, chochote kizuri huwa kina gharama zake..hakuna namna ya kupata mchezaji mzuri kwa pesa za kibahili.. haiwezekani...awe kinda ama aliye komaa,, mchezaji mzuri unampata kwa pesa nzuri..Hii club itatuua kwa msongo wa mawazo siku moja mkuu King faisal .
Man Utd inataka kuonekana kuwa ni klabu kubwa ila inataka kusajili kwa gharama za klabu ndogo. Ni sawa na mwanamke aliyekuwa na mvuto mbele ya wanaume ila baada ya muda kwenda bado anataka kutambulika kwa sifa zake za awali badala ya kuukubali ukweli na kubadilika kuendana na mazingira halisi.
Kwa sasa wachezaji hawaangalii legacy ya klabu ila mustakabali wa maisha yao. Sikatai kwamba jamaa wanataka kununua wachezaji kwa thamani yao halisi sokoni ila tukubali kuwa lazima tutumie pesa zaidi ili kurudisha ushindani uwanjani na mambo ya mvuto yatafuata mbele ya safari. Tuchague target zetu kwa usahihi ila suala la kumwaga pesa kwenye soko la usajili halikwepeki kwa sasa.
Mda utaongea.Wakikosa hao utd msimu ujao kilio ni kilekile
Sina Maarifa mengi katika Soka, ila Nina amini Msingi wa timu imara na Bora yeyote unaanzia kwenye Kiungo..Kama eneo la kiungo limeonyesha uhitaji wa wazi kabisa lakini bado tunajibana kutoa hela, beki wa pembeni si ndio itatakiwa tumuombee Dalot apandishe kiwango msimu ujao!
Tchouamen, huyu ni design ya wapambanaji anaowapenda kocha mzalendo The Special One..ππNdio najua Bournemouth wamesema hawamuzi lakini ikitokea ofa nzuri kuanzia Β£80m plus wanaweza kumuuza hata huyo tonali bila Β£100m humpati. Hata Tchouamen amsahau maana hawezi kushusha mshahara na pia Madrid watataka pesa kubwa zaidi ikitokea France π«π· kabeba world cup.
Unachosema ni uKweli kabisa, mchezaji kashuka daraja akiwa na Southampton na westham. Haoneshi msima wa kuja united bado hajaitwa kombe la dunia kuichezea ureno kwanini utoe Β£85m. Hivyo kupitia kwa omar berrada ngoja tuone kama hii falsafa yao ya usajili itaisaidia united.United naona wameandaa kiwango Fulani cha pesa kwaajili ya wachezaji Fulani, there is no way united ingetoa kiasi kile cha pesa Kwa Fernandez then mchezaji alisema timu itakayo kuwa na dau kubwa basi ndo atakwenda hiyo hiyo hapo united ndo wakakimbia kabisa maana mchezaji hajui anataka kucheza timu gani...Naona wako na Falsafa ya kuwa mchezaji utake kucheza timu yetu Kwanza halafu mambo ya pesa ndio yanafuata na sio kuweka fees kama kipaumbele, nowadays soko limeharibika Sana...
Huenda wameona wawe seriously si unakumbuka kauli za Diego conte na mourhino kuhusu uongozi wa Tottenham hasa kipindi cha levy.Kwa EPL, tuliwahitaji sana wachezaji wa pale pale katika ujenzi wa Msingi imara wa timu hasa idara ya Kiungo..
Tayari tumekosea..sijui Mpango ni upi..
Niliwaona
Tanguy Ndombele
Timeoe Bakayoko
Thomas Lema
Wakiwa Monaco, wa moto sanaa..
Mmoja akaenda Spurs
Wa pili Chelsea na
Wa mwisho Atletico..
Hawakuwahi kuwa wale wa Monaco Tena..
Benardo na Fabinho ni Exceptionals, Walienda timu ambazo zimeshakomaa, walimu Bora pia..
Hivyo, tulipaswa tusajili watu wa pale pale..
Na sasa Spurs wanamchukua na Tonali..
Wanataka kufanya nini Hawa Jamaa?
Wamenishangaza sana Spurs..Huenda wameona wawe seriously si unakumbuka kauli za Diego conte na mourhino kuhusu uongozi wa Tottenham hasa kipindi cha levy.
Ngoja tuone itakavyokua.Wamenishangaza sana Spurs..
Muuzaji kugeuka kuwa mnunuzi wa Bei mbaya..
Nawatakia Kheri..
Soko limeshaharibika sasa..sijui sasa tetesi zinaelekea wapi..
Huenda hii ndiyo sababu mojawapo, lakini tujiulize France akibeba world cup madrid watamuuza je vipi likitokea battle la club nyingine kubwa Manchester United wataweza kushinda na kumchukua Tchouamen hapo bado mshahara wake na kwa kauli za omar berrada sizani kama watatoa Β£100m plus so bado giza ni nene sana kwa Manchester United.Tchouamen, huyu ni design ya wapambanaji anaowapenda kocha mzalendo The Special One..ππ
Ataruhusu aondoke? Labda tu iwe iliamuliwa baada ya tukio la kugombana na Fede
Heartbreak kama hii nilishawahi ipata kwa Demu wa Kwanza kabisa nilimpata Form 3 akaniacha niko Form 4 karibu na NECTA naona maumivu yana shabihiana kabisa kudadeq π, nilikuwa nimemkasilikia Fernandes kabla sijamsamehe Tonali kaingilia kati hizi siku mbili naishi kwa Taaaaaaabu sana ndugu zangu tuombeeane uzima tu ila msimu ujao Man u bila kunituliza na kikombe chechote aisee..... watakuwa wamenyonga kabisa.Mateus kaniuma ila Tonali kaniuma zaidi...
Hii timu itakuja kutumaliza mapema kwa shinikizo la damu.Heartbreak kama hii nilishawahi ipata kwa Demu wa Kwanza kabisa nilimpata Form 3 akaniacha niko Form 4 karibu na NECTA naona maumivu yana shabihiana kabisa kudadeq π, nilikuwa nimemkasilikia Fernandes kabla sijamsamehe Tonali kaingilia kati hizi siku mbili naishi kwa Taaaaaaabu sana ndugu zangu tuombeeane uzima tu ila msimu ujao Man u bila kunituliza na kikombe chechote aisee..... watakuwa wamenyonga kabisa.
Pole sana Mkuu..lakini kitu kimoja Nina Imani nacho, Manchester United ipo karibu kurejea.. timu zote Zina Anza upya kujipangaHeartbreak kama hii nilishawahi ipata kwa Demu wa Kwanza kabisa nilimpata Form 3 akaniacha niko Form 4 karibu na NECTA naona maumivu yana shabihiana kabisa kudadeq π, nilikuwa nimemkasilikia Fernandes kabla sijamsamehe Tonali kaingilia kati hizi siku mbili naishi kwa Taaaaaaabu sana ndugu zangu tuombeeane uzima tu ila msimu ujao Man u bila kunituliza na kikombe chechote aisee..... watakuwa wamenyonga kabisa.