Arsenal Gunner
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 10,892
- 17,648
Mnyumbu fc yapo humu
Wachague moja kuweka timu nyuma (kupack bus) au waondoke na guni la magoliBaada ya kuifunga City mmepiga kelele nyingi Sana utadhani mmeshinda mechi 20 mfululizo kumbe ni mechi moja Tu
Hizo kelele zenu zinaenda kuzimwa Leo pale Emirates
Nipo hapa
Tutaua mtu leo sisi manjestaNipo hapa
Hilo neno ni nuksi kwenye matokeo ya nyumbu, ushawaharibia kaziNyumbu tushindwe wenyewe leo, naiona nafasi pale juu![]()


Nyumbu leo tunashinda nyingi sana mkuu 😂Hilo neno ni nuksi kwenye matokeo ya nyumbu, ushawaharibia kazi![]()
"Wakuu naiona nafasi pale juu"Nyumbu leo tunashinda nyingi sana mkuu![]()
Hakika mkuu, mwnyw naiona nafasi pale juu 😂"Wakuu naiona nafasi pale juu"
Tunaua kima yeyote anae katiza mbele yetu sisi ndio manjestaBaada ya kuifunga City mmepiga kelele nyingi Sana utadhani mmeshinda mechi 20 mfululizo kumbe ni mechi moja Tu
Hizo kelele zenu zinaenda kuzimwa Leo pale Emirates
Manyumbu awakosekani mkuuMnyumbu fc yapo humu