Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,351
- 2,786
Counter attack haitabiliki...najua arteta atafanya maandalizi namna ya kucheza na united.Endeleen kuota
Counter attack haitabiliki...najua arteta atafanya maandalizi namna ya kucheza na united.Endeleen kuota
Man u awez ata kupata sare mbele ya arsenalCounter attack haitabiliki...najua arteta atafanya maandalizi namna ya kucheza na united.
Mpira haupo hivyo.Man u awez ata kupata sare mbele ya arsenal
Kwa mpira gani mlionao wa kuiunga ArsenalMpira haupo hivyo.
Kesho tuna muua arsenal either sare au tunashinda...tunza hii mkuu
Nakuambia sisi manjesta tutaua mtu mwaka huuKwa mpira gani mlionao wa kuiunga Arsenal
Kumfunga city sio kwamba na arsenal utajipigia huo ni moto wa kifuuuMpira haupo hivyo.
Kesho tuna muua arsenal either sare au tunashinda...tunza hii mkuu
Isipo kuwa hivyo?Mnakula chuma 3+ leo nyumbu
Lipa zile 8-2Niwaulize tena "mseme wenyewe leo tuwakande chuma ngapi? "View attachment 3534239
Hatuwez kumaliza magoli yote, kuna wenzako nao wanasubiri hizo hizo goli.Lipa zile 8-2
Nitafute baada ya matokeoHatuwez kumaliza magoli yote, kuna wenzako nao wanasubiri hizo hizo goli.
Tufanye Mtakula chuma 4 kiroho safi
Nitakutafuta muda wa mapumzikoNitafute baada ya matokeo
Kitatokea kitakacho tokea tuupe mda nafasiNitakutafuta muda wa mapumziko
Leo msijichanganye mkataka tupishane, mtazalilika