Hivi Moyes mpaka sasa hajajua kikosi chake cha 1 ni kipi? Nadhani angeanza na Welbeck afu Nani angetulia benchi Man Utd wangekuwa na nafasi ya kuwapa Everton shida.
hivi moyes mpaka sasa hajajua kikosi chake cha 1 ni kipi? Nadhani angeanza na welbeck afu nani angetulia benchi man utd wangekuwa na nafasi ya kuwapa everton shida.