Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jifunze kuheshimu jitihada za watu, acha kusema goli la papatu papatu. Mbona wao hawajalipata kama papatu ni rahisi hivyo?

Lengo ni kufungwa, haijalishi umefungwaje. Kama ni rahisi kupapatua jiulize mbona wao hawajapapatua wakapata.

Hata pia ukisema wamebahatisha basi ujue bahati ilikuwa upande wao.
 
Mkuu nilikuambia bila set pieces nyie hamshindi.
 
Kakopi na kupaste kutokea wapi huyu
 
Geoff Leah huwa ana chuki na Amorim kisa wachezaji wake anaowapenda akina Rashford kutopewa nafasi
 
Allypipi akiacha prediction zake kwa man u.
Tutakua tunashinda mechi nyingi.
Jamaaa ana gundu na prediction hasa za GGMU
 
Manyumbu team mnayo kazeni hapo hapo swala la golikipa lisiwatoe mchezoni kumbukeni hata chelsea hatuna kipa tuna pazia sanchez ila hatulalamiki.
 
Sene lammens kabla ya weekend kuisha atakuwa new goalkeeper wa man united.
Hapo tutamalizia na kiungo afu tufunge dirisha.
Ruben inabidi awe makini sasa hii back up aliyopewa na ineos imemfaa.
 
Sene lammens kabla ya weekend kuisha atakuwa new goalkeeper wa man united.
Hapo tutamalizia na kiungo afu tufunge dirisha.
Ruben inabidi awe makini sasa hii back up aliyopewa na ineos imemfaa.
Ni kweli kabisa ila eneo la kiungo ni muhimu kuliko maeneo mengi sana waliyoyaimarisha msimu huu.
Kiungo ni lazima sio kwa ujinga wa Ugarte Casemiro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…