King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,994
- 5,005
Ni mchezaji mzuri sema utoto mwingi.Ila rashidi amenifurahisha sana nankunizhangaza
Bora amorim alimuona kua kwanza nidhamu ilikua mbovu, usupastaa hata mapenz na timu alikua Hana ukizingatia amekuzwa hapo, kukosa shukran na kusahau ulikotoka..
Nimesikia man u wametoa taarifa kuwa Bado watafanya sajili mbili Hadi tatu kabla ya kufungwa dirishaKama option ikiwa imebaki 1, ni heri twende na kiungo cha chini kabla ya srtiker.
fafanua vizury mkuu ijapokua ckatai kiungo ni wamuhimu.Kama option ikiwa imebaki 1, ni heri twende na kiungo cha chini kabla ya srtiker.
Hapo itakua vizury kwakweli.Nimesikia man u wametoa taarifa kuwa Bado watafanya sajili mbili Hadi tatu kabla ya kufungwa dirisha
Binafsi naonelea usajili wa kiungo mkabaji mzuri ni muhimu kuliko hata striker ili tuweze kupambania walau top 6 msimu utakapoanza.fafanua vizury mkuu ijapokua ckatai kiungo ni wamuhimu.
Hongereni kwa ku hijack! 😂🚨 BREAKING: Manchester United have overtaken Arsenal in the race to sign Viktor Gyökeres! 🇸🇪🔥
While negotiations between Sporting and Arsenal are at a standstill, United have just submitted a higher offer!
Manchester United are CLOSE to an agreement with Sporting.
However, Viktor Gyökeres only wants to join Arsenal.
🗞️ @abolapt
Bora hata kaasajiliwa huko aende tu..ila ubingwa watausikia kwenye Bomba...felakuti naona fabrizio kasema man u wapo seriously kwenye striker hivyo sesko yupo kwenye radar tayari, mie nimefurahi sana. Huyo gyokeres wamuache tu kwanza mpaka saivi atakua yupo na frustration.
Haya nendeni.mkachukue EPL na UEFA 😀😂
Tiyari ashasinya nyie endeleeni kupambana na hojlund Teka la boli au km vipi tupeni hela tuwape mtaalamu Nicolas Jackson 😂🚨 BREAKING: Manchester United have overtaken Arsenal in the race to sign Viktor Gyökeres! 🇸🇪🔥
While negotiations between Sporting and Arsenal are at a standstill, United have just submitted a higher offer!
Manchester United are CLOSE to an agreement with Sporting.
However, Viktor Gyökeres only wants to join Arsenal.
🗞️ @abolapt
Ni kweli lakin ngoja tujipe mda tuone itakavyokua namini clu watalifanyia kazi hizi nafasi muhimu.Binafsi naonelea usajili wa kiungo mkabaji mzuri ni muhimu kuliko hata striker ili tuweze kupambania walau top 6 msimu utakapoanza.
Sababu kubwa ni kwamba waliopo kwenye nafasi ya kiungo mkabaji hawana consistency ya ubora kuanzia ugarte, Casemiro na yule dogo wa academy.
Kwenye nafasi ya ushambuliaji tayari tumeishafanya maboresho kiasi yanatia moyo kwa Mbeumo na Cunha.
Ili akina Maguire na Yoro wasichoke na miili yao mikubwa ile, tuwape back up ya combative midfielder halafu mengine tumuachie Mungu tu.
Hapo wamefanya vizury sana.Bora hata kaasajiliwa huko aende tu..ila ubingwa watausikia kwenye Bomba...
Naona leo timu yetu imetema watu zaidi ya wanne kwa mpigo...kwa lugha nyingine hawaitajiki...tupa kule