Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyumbu hamjawahi kuniangusha kabisa, nikiwaua mnanipa hela nikiwapa mnanipa hela.
Ila mwaka huu nimewaua sanaa! 😂🙌
 
Yaani ndani ya msimu mmoja mbebe Uefa na Europa?
Mtatisha sana ndugu yangu OllaChuga Oc nenda kawatambie kabisa Liverpool kwenye jukwaa lao, tena waambie hilo kombe la Epl mmewapa tu wawashikie kwa muda, msimu ujao watalirudisha wenyewe kwa The Blues.
 
Hahaha Sasa timu gani itanunua wachezaji wenu hahaha hii manjesta labda hata maji maji fc inaweza kumaliza juu yenu kwannza mumebakiza mechi ngap nyie matakataka 😂😂😂😂😂
Tutaona msimu ujao siyo mbali, tunachotaka ni progress hata tukimaliza wa kumi next season.
 
One season wonder

Bora kauzwa tu
 

😀 😀 😀 Huyo ndiye OllaChuga mwenyewe sasa
 
Pamoja na nyumbu kuvurunda sana msimu huu ila mashine tuliyowauzia MOUNT imeonekana inapiga kazi. Tuongezeeni angalau pesa kidogo kwake. Acheni ubahili basi.
Mount amecheza Fainali hivyo usijali Chelkenge mtapata add-on yenu ya £3.5m
Ila Chelkenge nyinyi ni matapeli wa kiwango cha Sgr, mikataba yenu haina tofauti yoyote na ile ya Wajerumani na Chief Mangungo.
 
Kuweka logo ya hicho kikuku mbele ya sura ya mtu haina maana yoyote kwetu. Hiyo pesa ya kumnunulia ni Manyumbu na Chelkenge ndio wenye uwezo wa kuitoa. Liverpool wana Szobo na Macca tayari so hawatajihangaisha na huyu.
Wakati mwingine upunguze upumbavu na ushabiki maandazi. "Haina maana yoyote kwetu" kwetu wewe na nani? Sio kila mtu ni kapuku kama wewe na timu yako,,
Mpaka rais wa Leverkusen ameshatoa go ahead kua dili lifanyike kijana aende Liverpool na kijana ameweka wazi kua anataka kwenda Liverpool tu, na tayari euro milioni 100 zimewekwa mezani, Bado add-ons ..unaongea ushuzi Gani ...sio kila timu Ina uingereza wa kipumbavu kama timu zenu feki..fucking British DNA.
 
One thing I love about uongozi wa Liverpool...sio hizi takataka zingine

View attachment 3343384
Liver mlitoa 100M kwaajili ya Nunez. Mchezaji ambaye ni nyinyi tu mlikua mnamtaka.

Leo mnatoa 100M kwaajili ya Wirtz, mchezaji ambaye ni nyinyi tu ndiyo mnamtaka.

City aliikimbia deal akisema anaona full package ya Wirtz ni ya gharama mno. Yaani timu inayolelewa na visima vya mafuta na rushwa imeachana na deal.
 
Hivi kuna tetesi ya kusajili kiungo mwingine wa kukaba au tunaenda na Case na Ugarte kama kawaida yetu?
 
Hivi kuna tetesi ya kusajili kiungo mwingine wa kukaba au tunaenda na Case na Ugarte kama kawaida yetu?
Toeni 200 mil hivi muweze kuvutia kiungo atakeyekubali kuchezea timu iliyomaliza nafasi ya 15 na GD ya -10. La sivyo tegemeeni hao hao au mbarikiwe kupata mchezaji mkali ila hajulikani halafu afanye maajabu.
 
Nyumbu na Leo zimefungwa na waigizaji movie za kifilipino🤣🤣🤣 hiki kweli kikundi Cha wanenguaji
 

Attachments

  • IMG-20250528-WA0600.jpg
    62.5 KB · Views: 9
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…