Achana nao hao manyumbu. Kwanza ona jinsi mwanzo wanaandika wanachukua ubingwa halafu mwisho wanasema kufika au kutofika kwetu hakutowazuia kutobeba kombe...
Kila siku mnatuona wenzenu tunavyopambania ubingwa na tukiukosa tunasikitika na angalau twajifuta nyuso kuwa angalau tumeingia UCL, nyie mnatuona wajinga na kujiona wajanja kwa kujipigia vitimu vidogo vya Ulaya huko Europa ili muingie UCL kirahisi rahisi tu.
Haya sasa anzeni kutafuta timu za kushabikia siku za J4 mpaka J5 wakati wenzenu tunazicheki timu zetu.
Au anzeni kupenda ma Huba sijui Jua Kali mara sijui Jahazi au Gharika na vitu vingine kama hivyo maana msimu ujao utakuwa mchungu sana kwenu.
Hawa wachezaji ukimpata mtu km Ancelotti anawafanya CR7 shida ni watu wanaowaongoza,angalia Al Ahly wachezaji wao wa kawaida sn lakini makocha wao wanambinu sn zakushinda makombe
Tushuke niende likizo maana si kutesana huku.
Onana hajitumi, huyu LB(Luke shw) aliyekuwa amnaumia ni mzembemzembe mno. Leo ametuletea upuuz wake tu. Ili uone beki hatuna Maguire ameongezeka kitu gani. ??
Nyumbu utd imebaki story tu, hii timu ilifanya dhulma nyingi sana enzi za babu ma-big G sasa ni muda wa kulipa dhulma hizo dadadek! Na bado jiandaeni kushuka daraja kabisa msimu ujao(Mark my word)
Jumapili mtaingiza timu uwanjani ili iweje sasa? Hamna maana yoyote kwenye ligi. Mpo mpo tu hapo mmeshikilia nafasi ya timu nzuri zinazojielewa kama Preston North End na Sheffield Wednesday.