Alhamisi nitaangalia mechi yangu ya mwisho kwa msimu huu labda wafuzu ila kwa ligi inatosha tutakutana msimu mpya .Wacha nipumzishe moyo wangu na kudunda dakika 90 kama kitenesi.
Aiseee hii Man Utd yetu msimu huu imejua kutuvua nguo mashabiki wake.
Yaani hata nguvu ya kuwasimanga Arsenyau wakiambulia patupu mwisho wa msimu haipo tena.