Wamiliki walikuwa busy na stocks zao tu huko USA, pale united Kila nafasi Inahitaji mtu wa maana. Huwezi kuwa serious na mashindano still unategemea Babu eriksen and Co. Wakati Newcastle wana sajili wakina Sandro Tonali, Bruno G, Isak, Harvey Barnes, Fabian Schar, Almiron, Gordon, Joelinton, C. Wilson, Botman, Livramento ( Hawa wachache niliotaja hakuna mchezaji wa United hata mmoja anayeweza kuwaweka benchi Hawa majamaa wazee wa kazi ambao wote Hawa wanafit kwenye playing style ya united ya counter attack na mpira wa kuminyana), Tajiri alikuwa New York anainjoi sijui mademu...