Nimesoma mahali huku JF kuwa Yanga eti tuna mpango wa kuwaleta tucheze kwenye Yanga day halafu pia tuje kucheza nanyi Old Trafford.
Kama kweli ikitokea, nafikiri hili ni suala la kibiashara zaidi kwetu ila kimpira uwanjani, nyie siyo level yetu kabisa na tutawapiga nyingi. Heri hata tungewaita Chelkenge au C115y.