Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Zikizee maana yake ni Zee lenye ziki, sio magoli ya wazi tu, lenyewe linakosa mpaka penalties.
Lindi loaf hapo ndio unajiuliuza tokea lini Lindi wakajua kutengeneza mikate? Jitu lipo hapo Utd tokea kipindi Muumini Mwinyijuma anaachia ile nyimbo yake maarufu ya Tunda mpaka wa leo bado linategemewa na timu.
Ile Mechi tuliyo mtoa Arsenyau tulibebwa tu na uwezo binafsi wa Altay Bayındır, sasa sijui Amoxilin ana chuki gani na huyu dogo, sawa kwenye EPL asimpe namba ila hata FA pia anambania hata kwenye Sub hayupo?
 
Zikizee maana yake ni Zee lenye ziki, sio magoli ya wazi tu, lenyewe linakosa mpaka penalties.
Lindi loaf hapo ndio unajiuliuza tokea lini Lindi wakajua kutengeneza mikate? Jitu lipo hapo Utd tokea kipindi Muumini Mwinyijuma anaachia ile nyimbo yake maarufu ya Tunda mpaka wa leo bado linategemewa na timu.
Ile Mechi tuliyo mtoa Arsenyau tulibebwa tu na uwezo binafsi wa Altay Bayındır, sasa sijui Amoxilin ana chuki gani na huyu dogo, sawa kwenye EPL asimpe namba ila hata FA pia anambania hata kwenye Sub hayupo?
Altay yupo muhimbili 😁
 
🚨 DURU ZINAARIFU KUWA,RUBEN AMORIM HANA MAISHA MAREFU UNITED 🚨

Kwa mujibu wa chanzo kikubwa ch taarifa mbalimbali za soka duniani (Fichajes) kimeibua taarifa mpya inayosema:

Klabu ya Manchester United imepanga kumfuta kazi kocha mkuu wao raia wa Portugal 🇵🇹 Ruben Amorim mara baada ya msimu kumalizika.

Fichajes pia wameeleza kuwa uongozi wa United unamlenga kocha mkuu wa klabu ya Aston villa Unai Emery Kuchukua majukumu ya kuifundisha klabu hiyo baada ya Amorim kuondoka.

Source: [ Fichajes ] & [ Transfer News Live ]


FOLLOW US.
 
Zikizee maana yake ni Zee lenye ziki, sio magoli ya wazi tu, lenyewe linakosa mpaka penalties.
Lindi loaf hapo ndio unajiuliuza tokea lini Lindi wakajua kutengeneza mikate? Jitu lipo hapo Utd tokea kipindi Muumini Mwinyijuma anaachia ile nyimbo yake maarufu ya Tunda mpaka wa leo bado linategemewa na timu.
Ile Mechi tuliyo mtoa Arsenyau tulibebwa tu na uwezo binafsi wa Altay Bayındır, sasa sijui Amoxilin ana chuki gani na huyu dogo, sawa kwenye EPL asimpe namba ila hata FA pia anambania hata kwenye Sub hayupo?
Kidogo zinakurudi eeh..
 
Screenshot_20250304-111809.jpg

Next match za manyumbu ni huzuni sana mtamlaumu sana ally papi 😃😃😃
 
Zikizee maana yake ni Zee lenye ziki, sio magoli ya wazi tu, lenyewe linakosa mpaka penalties.
Lindi loaf hapo ndio unajiuliuza tokea lini Lindi wakajua kutengeneza mikate? Jitu lipo hapo Utd tokea kipindi Muumini Mwinyijuma anaachia ile nyimbo yake maarufu ya Tunda mpaka wa leo bado linategemewa na timu.
Ile Mechi tuliyo mtoa Arsenyau tulibebwa tu na uwezo binafsi wa Altay Bayındır, sasa sijui Amoxilin ana chuki gani na huyu dogo, sawa kwenye EPL asimpe namba ila hata FA pia anambania hata kwenye Sub hayupo?
Wale jamaa zako na ndugu zake Zirkzee, PSV, jana tumewapa fursa ya kipekee ya kutupiga 7 au zaidi pale Emirates wiki ijayo ili watutoe kwenye UCL. Karibu ujionee vijana wako wanavyochangamkia hiyo fursa.
 
Back
Top Bottom