Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Eti unamfunga Southampton kwa bahaaaaati bahaaaaati halafu eti unajiona unajua bolu.

Kesho tu unakutana na katoto kadogo Brighton kanakucharaza na kukukumbusha kuwa wewe Huna lolote unalojua
Kwan Southampton na arsenal walitoka ngapi
 
20250120_211352.jpg
 
Unaiongelea timu inayoshika nafasi ya pili
Tuachane na UEFA ambayo Nottingham forest anakuzidi, vip mara ya mwisho Netflix (arsenal) amabeba ligi ye EPL ilikua lini, kumbe rodri hakukosea huenda hata kuwa wa pili kweye ligi ni mafanikio yenu makubwa.
 
Tuachane na UEFA ambayo Nottingham forest anakuzidi, vip mara ya mwisho Netflix (arsenal) amabeba ligi ye EPL ilikua lini, kumbe rodri hakukosea huenda hata kuwa wa pili kweye ligi ni mafanikio yenu makubwa.
Antony alikua kaja kuwapa kombe lenu la ligi jingine tangu Alex aondoke?
 
Back
Top Bottom