Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,875
- 16,442
Kwani Janet Jackson wenu kuna timu yoyote inayomtaka?Hivi masebene hakuna hata timu moja onayomtaka?
Kwani Janet Jackson wenu kuna timu yoyote inayomtaka?Hivi masebene hakuna hata timu moja onayomtaka?
Ken gold fcKwani Janet Jackson wenu kuna timu yoyote inayomtaka?
Mzee una masihara sana🤣🤣🤣Huyu kocha akipata sajili kama mbili hili dirisha basi tunatoboa top four.
Huyu ndio mchawi wenu.Kikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys hawa hapa.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
My prediction
Manchester united 4 vs Southampton 0
Tutapiga kama ngoma.
Twende nalo 💪 View attachment 3203896
Huyu anatulia hela zetu tuu.....tumempa direct win yeye anamanua matakoMnaoangalia matumaini ya Man u kushinda yapo?