Herzogg
JF-Expert Member
- Apr 17, 2024
- 4,576
- 1,396
Haya ni matumizi mabaya ya mkono.Mi nawaunga mkono dhidi ya Liver.
Haya ni matumizi mabaya ya mkono.Mi nawaunga mkono dhidi ya Liver.
Pia city inabidi ufanye hivyo.Haya ni matumizi mabaya ya mkono.
Uko wapi mkuu
Nataka mfeMmekata tamaa ya kuwa top of the table February 20?
asenyoz kumbe upo 😁Nyinyi punda mnacheza tena back 3
Nipo tunabana wote leoasenyoz kumbe upo 😁
SanaLiver Leo wanacheza utafikir wameamkia kwa wanawake zao yaani wamelegea vibaya mno