mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,694
- 19,545
Nataka mfeMmekata tamaa ya kuwa top of the table February 20?
Lakin kuna hisia zinaniambia liverpunda aondoki na points 3
Nataka mfeMmekata tamaa ya kuwa top of the table February 20?
asenyoz kumbe upo 😁Nyinyi punda mnacheza tena back 3
Nipo tunabana wote leoasenyoz kumbe upo 😁
SanaLiver Leo wanacheza utafikir wameamkia kwa wanawake zao yaani wamelegea vibaya mno
Mlijificha vichakani sasa mmeanza kutokezaManeno si ndo haya
GGMU