Goma zito hili arifu...
Ila ni ukweli usiopingika kwamba watu walijua hii tie ingeisha game ya kwanza...lakini wapi...
Jones ni mzuri sana atatusaidia sana. lakini katikati hapo kuna shida sijui felaini leo yuko wapi.
Barca weshaloweshwa
Inabidi Januzaj aingie ili kuongea usumbufu kwa mabeki...Welbeck anawasumbua sana...tukipata mkata upepo mwingine itakuwa poa sana...
bora watolewe kabisa ..hawana.lolote ni marefa tu wanawabeba
Fletcher yupo poa sana...yeye anaweza kupeleka mipira mbele kuliko Fellaini...kitu ambacho kinahitajika leo...