raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,503
- 35,686
Man U wana mahusiano mazuri na ya muda mrefu sana na SL namuona jamaa akitua OTNaona bora timu wangemuachia tu Ruud van Nistelrooy tukapima kwanza upepo mpaka Christmas ili tujipange kutafuta kocha wa kueleweka, ila hawa wapuuzi wanaweza wasimlete hata huyo mreno wakatuletea Southgate au lile ndondocha la Chelsea(Graham Potter)View attachment 3138202
Utasikia jamaa kazi kufuga ndevu tuu 😆After two seasons utaskia huyu akiitwa Mandevu and some funny funny names 😂😂😂View attachment 3138225
Haitwi Lampard huyo anaitwaMjaribuni Lampard
Huyu ni mwamba sana akipona hamtojuta kumsajili..tuongezeeni hata pauni mil. 10 wakuu🤣Sajili mbovu zaidi kwangu mimi naona ni lile galasa lenu mlilotupiga kwa £60m, halafu mbaya zaidi likapewa mpaka jezi ya heshima number 7.
Usajili wa Freemason ulikua ni daylight robbery, kwanza chezaji lenyewe kila likicheza mechi 2 lazima liende likakae MOI miezi mitatu, laana ya kutudhumulu hio pesa yetu haitawaacha salama kenge nyinyi. View attachment 3138174
Naona bora timu wangemuachia tu Ruud van Nistelrooy tukapima kwanza upepo mpaka Christmas ili tujipange kutafuta kocha wa kueleweka, ila hawa wapuuzi wanaweza wasimlete hata huyo mreno Ruben Amorim wakatuletea Southgate au lile ndondocha la Chelsea(Graham Potter)View attachment 3138202
Two seasons ni parefu, ikifika march urasikia sio kila mreno anajua mpira wengine ni wapelelezi.After two seasons utaskia huyu akiitwa Mandevu and some funny funny names 😂😂😂View attachment 3138225
Wachezaji sijui huwa wana fanya makusudiMan U wakipata kocha mpya sasa, hizi mbwembwe tumeshazizoea. Tunawapa muda tu mtarudi kwenye ‘ubora’ wenu.
Tuko hapa, tutakumbushana.Wachezaji sijui huwa wana fanya makusudi