Hehheeeeeeeee daaaaahhh!!!! Mpaka raha!!!
Mi sijui hawa vijana walikuwa wapi siku zote wangefanya hivi hakika leo tungekuwa nafasi ya 2 au 3
Timu ilikosa kujiamini tu,sasa wameanza kurudisha ile imani kuwa wanaweza
mi sijui hawa vijana walikuwa wapi siku zote wangefanya hivi hakika leo tungekuwa nafasi ya 2 au 3