Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi Mount Mason bado yupo Man Utd? Kumbukeni mechi ijayo mnacheza dhidi ya Col Palmer.
 
Duh, Baada ya kuangalia El-Clasico ya jana na ubora wa wachezaji wa timu zote mbili, nimeangalia hiki kikosi nikajisemea 'mwaka huu hatutoboi popote' katimu ka hovyo sana haka.
Ila we jamaa πŸ˜…πŸ˜…
 
Hamna rebuild ya misimu mitatu ni utapeli tu.
Sasa tutamfunga nani kweli? Kila mechi chuma
 
Mpaka ifike December tushapigika sana yani ni muda wa kuondoa hisia na hii timu hamna sababu ya kupata ugonjwa wa moyo kijana mdogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…