Leo nimeendelea kugundua katika hii timu kila idara imekufa. De Ligt anarudishwa nje kufutwa damu mara tatu na bado madaktari hawaoni kuna umuhimu wa kumfunga kitu kichwani.
Masingeli kwani Bournemouth kafanya nini, mbona matusi yamekua mengi kwenye jukwaa la Asaninyau?
Uwepo wa Masingeli kwenye hili jukwaa la Mashujaa hua ni baraka kubwa sana upande wetu, maana dua zake mbaya juu yetu hua zinabadilishwa kua neema, halafu yale mabaya anayotuombea yanahamia kwao.
Binafsi sijawahi kuchukia uwepo wake kwenye hili jukwaa, maana natambua yule anaempa uwezo na nguvu za kuingia humu lengo lake ni kumfedhehesha ikishafika mwisho wa msimu.