Hii timu Mimi nishaacha kushabikia na kuangalia mechi zake toka Kitambo , siamini siku hizi sijui hata sijui Man U huwa inacheza lini nashangaa naona watu kwenye status na hata ikifungwa nipo fresh siumii na kuiwazia kama Zamani.
Kuishabikia Man U nikutafuta mateso ya kujitakia tu.