Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,489
- 35,641
Baki mwenyewe huko kwenye Hilo timu la manyumbu Mimi nimeshahama usinifananishe na wengine Mimi nipo kivyangu au umechanganyikiwamjomba Mimi nikifanya kitu namaanisha Hilo timu Mimi sitorudi milele sababu sio baba yangu Wala mama yanguwe
we bado hujaama timu tulia dawa iingie ....hakuna kitu kigumu kama kuhama timu moyo uliyo chagua hapo akili inakuambia ushahamia Liverpool ila roho bado ipo unyumbuni na hili jambo lipo kwa man utd fans haupo peke yako
utakuta tu wapo wana shabikia na mpaka kuwa na jezi za timu nyingine mfano city arsenal Chelsea lakini kipimo cha kuwa bado timu ipo rohoni inapozidi kufanya vibaya una umia mno ilihali upo timu nyingine na pia inapofanya vizuri unajikuta unatembea kifua mbele hata kugombana na mtu anaye taka kuchukulia poa progress ya timu
walishaambiwaga na hamis ila wakaona mchizi anawaonea wivuKwenye goli la pili Casemiro anapoteza mpira, anadondoka, ila nyuma yake kuna wachezaji 5 wa nyumbu. Liva inaingia kwenye boksi ikiwa na wachezaje 3 dhidi ya 5 wa nyumbu
Wanashindwa kuzuia linafungwa goli.
Shabiki anamlaumu Casemiro.
Sikumbuki mara ya mwisho ni lini kuanzia 2021 Arsenal kafungwa goli la ndani ya box huku ana wachezaji 5 kwenye boksi na siyo kona wala faulo. Na siyo Arsenal pekee, timu nyingi huwezi kuzifunga ikiwa ni 3 against 5
Erik kichwa ngumu siyo kocha.
Saints na Man U utofauti ni majina tuuSaints wakitusumbua itabidi EtH andoke rasmi..
oYa we livafools eb nipe 5Mwanyumbu united
Sijui kwanini hapangwi 10 hag anafeli wapi? Game ya liverpool huyu jamaa ange shine au majeraha yanamwandama?π¨ Winga tishio na hatari zaidi kuwahi kutokea Duniani anaekipiga katika klabu ya Manchester United raia wa Brazil π§π· Antony Dos Santos amebakiza mabao 857 kufikia rekodi ya gwiji wa soka duniani Cristiano Ronaldo ya kufunga mabao 900.
View attachment 3090217
Antony ana changamoto gani?Kikosi cha watoto wa Bwenyenye Jim kinashuka twende nalo.
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha π π π
My prediction
Southamptn 1 VS Manchester United 3
Watapigwa sana wale vijana.View attachment 3095605
Anthony anaweza kucheza mbele ya Amad, garnacho ? Achilia mbali rashford ? Hawezi hata kupiga chenga kuwatoka wachezaji wawili ? Huyu level yake ni mid table teamAntony ana changamoto gani?